Duuuh, kweli wanawake wengine!


Walau huu ndo ushauri si huo mwingine ampige miti,mbandue,jisavie lo kumbe hata wanaume hampendani utamshaurije mwenzio amkule mpenzi wa rafiki Yake hata kama huyo dada kajitoa ufahamu kiasi kile.
 
Enheee! Enheee! Enheee! Enheee! Enheee! Enheee!
Bahati yako. Ungeisoma namba. unafikiri mchezo. Dunia hadaa, ulimwengu shujaa. Chezea HIV +++ wewe. Du!
Ndugu yangu umesh,nashindwa kuamini kilichotokea kwa kweli,hata hivyo namshukuru Mungu wangu kwa kweli!!!
 
Mrejesho pls..maama isue ilikuwa ya jana hii
 
Fanya kitendo ambacho kitamfanya rafiki yako awe proud na wewe wanawake wapo tunza heshima ya rafiki yako fanya maamuzi magumu ili hata siku za mbeleni ujiproud mwenyewe kwa maamuzi ya msingi na busara. Mwokoe rafiki yako
Huu ushauri naunga mkono moja kwa moja
 
Huyo mwanamke ana pepo la ngono. Jambo hili hajalifanya kwako tu bali atakuwa anafanywa ovyo ovyo. watu wa namna hii wapo wanawake kwa wanaume.
 
Lete mrejesho tumetoa ushauri wetu toka jana au ili kuwa hadithi?
(1)nini kilitokea baada ya wewe kwenda kulala hoteli?
(2)uliporudi asubuhi ulimkuta nyumbani?alijisikiaje?
(3)mpaka mda huu bado yuko nyumbani?au kaondoka?mwisho rafiki yako umemwambia?
Niishie hapo kwanza .
 
Nimeshaeleza kilichotokea ndugu yangu,soma page za nyuma hapo utajua kilichotokea,kwa sasa sina hata mood njema,mwili mzima unatetemeka!!!
 
Nimeshaeleza kilichotokea ndugu yangu,soma page za nyuma hapo utajua kilichotokea,kwa sasa sina hata mood njema,mwili mzima unatetemeka!!!
Unatetemeka nini,wewe kwanini usimkaushie alivyofika moro wakati alikua hapajui kwako na unajua alichokifata....
 
Ndugu yangu,nilijua anasafari nyingine kabisa,na kwa jinsi ninavyomfahamu sikuwaza kama angekuwa na dhamira ovu,kila kitu nlijua ni utani Fulani tu
 
Halafu siku hizi HIV hata sio issue kivile kama ajali za barabarani
 
Mwambie una bleed leo.. Akuvumilie ,
Huyo mwanamke hajaolewa na jamaa, ww piga then usimwambie jamaa direct ila uwe unamsisitiza jamaa asimuoe huyo dada...
 
Karibu rafiki angu na pole na majanga pia namshkuru Mungu kwa ajili yako kwa namna ulivyookoka na mimi kua sehemu ya ushindi wako
 
Hawa viumbe mmh! najuta kwa nn nilikimbia wito wa upadre
 
Karibu rafiki angu na pole na majanga pia namshkuru Mungu kwa ajili yako kwa namna ulivyookoka na mimi kua sehemu ya ushindi wako
Hakika kwa hili wewe ni zaidi ya rafiki,umenisaidia sana!
 
fanya ku-capture hiyo text utuwekee hapa kama uthibitisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…