Duuuh, kweli wanawake wengine!

Aisee hawa watu wakati mwingine wanatugombanisha na rafiki zetu wa karibu,tena tuliotoka nao mbali,najiuliza jamaa yangu atanielewa nikimwambia hali halisi ya msichana wake?au ndo utakuwa mwisho wa urafiki wetu?
Piga simu kwa jamaa mbele yake mwambie bint kaja moro kaomba aje akusalimie kang'ang'ania kwako sema yote tena mweleze hutaki tatizo nae ndio sababu ya kumpigia ukidanganya bint anabadilisha maneno hutoongea tena na rafiki yako, hana nia njema huyo atakugombanisha na mchumba wako
 
Mfukuze haraka sana tena mapema
Acha mazoea mabaya na shemeji yako
 
Ndugu yangu kusema ukweli,nashindwa kumwambia jamaa coz anaweza asiamini ntakachomwambia,jamaa anamwamini sana msichana wake,awezafikiri kuwa nawagombanisha tu,nathamini urafiki wetu,sipendi kugombana naye kabisa!!!
Usituvutie mada we huwez kuamua hadi umwambie rfk ako
 
kwa hiyo we mtu ukiona anaelekea kwenye kuzini ndo unamsukuma kabisa aende akazini?usimuangalie yeye jiangalie wewe pia na nafsi yako je hili jambo linamtokea dada yako utazidi kumtia ndimu huyo mwambunnyara aende akazini?
 
Nashukuru kwa ushauri wako,hapa namalizia kuandaa dinner then niende nikalale hotel tu
 
watu ambao walikuwa wanamsumbua ndalichako kwenye mitihani ya necta badala ya kujibu maswali wanachora katuni utawajua tu
 
kwa hiyo we mtu ukiona anaelekea kwenye kuzini ndo unamsukuma kabisa aende akazini?usimuangalie yeye jiangalie wewe pia na nafsi yako je hili jambo linamtokea dada yako utazidi kumtia ndimu huyo mwambunnyara aende akazini?
We umemkaribisha simba ndani zen unaanza kusumbua majirani waje kukusaidia kumuondoa..Acha akutafune tu..Btw niliandika ile comment kiutani...Ila Niliamua kukupa maelezo baada ya kuona umechukulia serious
 
Nashukuru kwa ushauri wako,hapa namalizia kuandaa dinner then niende nikalale hotel tu
Mkuu samahani kwa swali kama hutajali kwani we na mchumba wako mnaishi mikoa tofauti??kama yuko karibu muite aje ye mpelekeni hotelini kama yuko mbali ndo majanga kalale tu hotelini maana hamna namna
 
Maandiko matakatifu ya biblia yanasema Ikimbie zinaa, kwani aziniye na mwanamke hana akili kwani afanya jambo litakalomwangamiza nafasi yake

Mwambie ukweli kwamba hauko tayari kuzini naye,

Na pia hautaharibu uhusiano wao na mwenzi wake ikiwezekana mshauri aache tabia yake mbaya.
 
Kama una ndugu wa kike wa karibu mpeleke akalale huko.
 
Duuu. Hawa watoto hawatocheki. Hizo k zinapanuka tu. Looooh.
 
Mstue jamaa aje kesho!
Mwanamke kaolewa hana staha kama alitaka mambo hayo asingeolewa!
 
Najaribu kutafakari kwenye situation hio ningefanya nini?!
 
Duuh kweli wanawake wengineee........... Ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…