najua my dear,ila kama huo ndo ukweli Mungu akusaidie uweze kuukubali,kuukabili na kusonga mbele na maisha yako mana si vizur kujweka sehemu usiyopendwa tena.hata mi nahis nimechokwa ila staki kukubali maana inaniuma
mulika mwizi
Umeona eeh!!
Yaani Ma'swagga na ujanja wake wote hili ameshindwa kuliona???
Kimbia fasta, toka nduki we kimbia, ukianguka ukiumia inuka vumilia, kimbia , kimbia ..... unawakumbuka hao Babuu na Langa..... read me between lines labda naweza kukufaa!
Space sijui nini hamna kitu! Jichungize tangu mmeanza naye mpaka kuwa kitanda kimoja hadi leo umefanya kosa gani! Usikutte unaingiza siasa kwenye ndoa! Yaani hata kama wewe ni mkuu wa mkoa achana na hizo! Ukirudi nyumbani wewe ni mke wake tuu! tafakari chukua hatua. Space means giving intruder time to win!
pole
maana yake anahitaji break
peaneni space kwanza
]
Kumradhi The Boss....lakini nachukia sana hiyo 'kupeana space'! Katika miaka yangu yote ya relationships, it happened twice tena kwa wanawake ambao niliwapenda kweli...it has never worked! Mkipeana space yaani ndio uanze, kama unafikiria you will get a second break sahau! Atleast from my experience...bora uteme tu mzigo ujue moja, uumie, uugulie, upone, maisha yaendelee...kuliko kubaki na matumaini labda something good will come..and never will, unaumia kimoyomoyo tu kila siku tu...a coward die 1000 times, but a soldier die once (Tupac Shakur)!
Pole ndo midume hiyo. Atakuwa kapata kitu huyo, wewe mchunie tu mpe hi kama kawaida na mkubari tu akufanyie anayokufanyia now. Wewe akienda job msms TAKE CARE! Na akiwa anatoka job do the same. Hpe atakuwa anajishitukia na atagundua anafanya makosa
ngoja nikalale mweeeni matatizo ya ndoa za watu wenye umri wa miaka ya 40s
kila mtu ni mbabe,
na kila mmoja ana mega /megwa nje,
vumilianeni tu yatakwisha.