Kumbuka wazee wengi walianzia CCM, kwa hiyo si jambo la kushangaza watu kusema yeye ni CCM...Mcheki itv, amejitambulisha mwenyewe kuwa yeye ni sisiem damu ile ya asili,na ndiyo maana anaonekana kavaa shati la kijani.ANAONEKANA LIVE ktk marumbano ya hoja.
Mcheki itv, amejitambulisha mwenyewe kuwa yeye ni sisiem damu ile ya asili,na ndiyo maana anaonekana kavaa shati la kijani.ANAONEKANA LIVE ktk marumbano ya hoja.
ccm tuna majeshi,mahakama, serikali dhaifu, wazee wa kuhutubiwa, magwaride, majambazi, wezi, wanyonyaji, wakopeshaji kwa dada zao kama maigemkuu ahsante kwa taarifa! Kumbe huyu mpiganaji ni mwenzetu wana ccm! Basi inabidi chama kimtumie ktk kutokomeza uchochezi na sumu chafu unaoonezwa na huyu muhuni lema.
Ccm tuna mungu, polisi, mahakama but chadema wao wana mungu peke yake.
umesahau kitu muhimu sana kwenu,hujamtaja shetani na yeye ni wenu pia.mkuu ahsante kwa taarifa! Kumbe huyu mpiganaji ni mwenzetu wana ccm! Basi inabidi chama kimtumie ktk kutokomeza uchochezi na sumu chafu unaoonezwa na huyu muhuni lema.
CCM TUNA MUNGU, POLISI, MAHAKAMA BUT CHADEMA WAO WANA MUNGU PEKE YAKE.
Mcheki itv, amejitambulisha mwenyewe kuwa yeye ni sisiem damu ile ya asili,na ndiyo maana anaonekana kavaa shati la kijani.ANAONEKANA LIVE ktk marumbano ya hoja.