Heron
JF-Expert Member
- Oct 4, 2013
- 1,946
- 1,806
Na mimi nimeweka ushahidi mtoto alivyobakwa na shekhe
Sheikh mmoja au walili au hata watatu,lakin
Kwa Makafiri sio mtu mmoja mmoja ni Kanisa, ona papa anavyohangaika kuomba radhi kila mara
Na mimi nimeweka ushahidi mtoto alivyobakwa na shekhe
Ukweli unauma?Huyu Bibi Kisiraniii sana
Aliyekiri ni Duterte, Rais wa Ufilipino. Si Maneno yangu hayo.Wakati mwingine tumia walau akili kidogo kabla ya kupost upupu wako
Sio Durtele ila kabakwa na kiongozi wa diniHuyo binti ni Duterte?
Na huyu akitoka madarakani watamgawana nyama labda akimbie nchi.Dawa yake akitoka tu madarakani mkojo unaenda kwa mkemia mkuu! kwani shs ngapi bwana kupima tu mkojo?
Bora yule anayejua kuna tatizo akatafuta namna ya kulitafuta kuliko yule anayejua kuna tatizo lakin akakaa kimya au kujifanya yeye ni msafi kumbe kila siku kulawiti watoto wadogoSheikh mmoja au walili au hata watatu,lakin
Kwa Makafiri sio mtu mmoja mmoja ni Kanisa, ona papa anavyohangaika kuomba radhi kila mara
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dawa yake akitoka tu madarakani mkojo unaenda kwa mkemia mkuu! kwani shs ngapi bwana kupima tu mkojo?
Duterte mwanamme na mapadre wanaume.Sio Durtele ila kabakwa na kiongozi wa dini
Kweli kabisa. Kesi hizo kanisa katoliki ni nyingi mno mpaka Umoja wa Mataifa (UN) wamepiga kelele. Na sisi tusinyamaze tufichuwe kila tunapoweza.Bora yule anayejua kuna tatizo akatafuta namna ya kulitafuta kuliko yule anayejua kuna tatizo lakin akakaa kimya au kujifanya yeye ni msafi kumbe kila siku kulawiti watoto wadogo
Kaongea ukweli..Bila kuongea udini hua hujiskii amani
Huyu alikiri kuwa mapadre wa kanisa katoliki walimfanya kibaya utotoni: Philippines president reveals he was abused by priest as a child
Faiza Foxy bora hata hao wakatoliki, wanakiri mapungufu walionayo ya kibinaadamu ktk mfumo wao wa ibada. Kule madrasa watoto wanashughulikiwa na ni marufuku kusema wala kukemea . Hizi Imani za majahazi zisikutoe ufahamu. Baki kuwa muungwana na itakuweka huru.Bila kuongea udini hua hujiskii amani
Uchafu ni uchafu tu. Huwezi halalisha ufuska wa aina yoyote kwa Kiongozi wa kiimani wala wa kijamiiDuterte mwanamme na mapadre wanaume.
Huyo binti wa miaka 17 alibambikiwa ustadh ili amuoe. Kiislam binti mkubwa aliyekwisha vunja ungo hapaswi kuwachwa na ustadh.
Sasa Duterte je?
Kweli kabisa na ndiyo maana mpaka Umoja wa Mataifa umeikoromea Vatikano. Soma...Uchafu ni uchafu tu. Huwezi halalisha ufuska wa aina yoyote kwa Kiongozi wa kiimani wala wa kijamii
Faiza Foxy bora hata hao wakatoliki, wanakiri mapungufu walionayo ya kibinaadamu ktk mfumo wao wa ibada. Kule madrasa watoto wanashughulikiwa na ni marufuku kusema wala kukemea . Hizi Imani za majahazi zisikutoe ufahamu. Baki kuwa muungwana na itakuweka huru.
Durtete ameua watu wengi kwa kisingizio cha madawa ya kulevya. Hapaswi kufanya matani ya aina hiyo. Kiongozi mzuri ni yule anayechunga ndimi zake. Kwa nchi zingine kauli ya kiongozi ni sheria. Kwetu hapa, tumewahi kuwa na kauli tata, na baadaye kesho yake kiongozi wa chini, anajitokeza kusema kuwa ilikuwa ni matani .
VIONGOZI WACHUNGE NDIMI ZAO.
Mimi si mkatoliki ni msabato . Lakini naogopa kushambuliana kiimani. Tatizo la Ushoga , Usagaji & Ubasha vyote hivi ni janga kwa ulimwengu tangu enzi za akina Sodom na Gomorrah na kulimaliza ni ngumu, kwa sababu wanaadamu wamekengeuka. Pili haya mambo ya haki za binaadamu ni kikwazo ktk kutaka kulimaliza tatizo lenyewe.Tatizo ndani ya kanisa katoliki (licha ya mengine) ni kubwa sana, usitetee maovu. Soma mapadri 4000 wameharibu watoto, mapadri 4000 waliostukiwa, duniani wangapi hawajastukiwa?
Halafu leo tunashangaa ushoga kuzagaa duniani na chanzo tunakijuwa...
Sex abuse and the Catholic Church
Hata kama ni muumini wa kanisa hilo usitetee huu uozo. Au ni mmoja wa hayo?
Tatizo litakwisha vipi ikiwa kanisa kubwa duniani ndiyo chanzo kikuu cha tatizo na sisi mnataka tunyamaze?Mimi si mkatoliki ni msabato . Lakini naogopa kushambuliana kiimani. Tatizo la Ushoga , Usagaji & Ubasha vyote hivi ni janga kwa ulimwengu tangu enzi za akina Sodom na Gomorrah na kulimaliza ni ngumu, kwa sababu wanaadamu wamekengeuka. Pili haya mambo ya haki za binaadamu ni kikwazo ktk kutaka kulimaliza tatizo lenyewe.
Kwanini?