DUTERTE: Huwa Navuta Bangi Ili Nisilale

DUTERTE: Huwa Navuta Bangi Ili Nisilale

Tatizo litakwisha vipi ikiwa kanisa kubwa duniani ndiyo chanzo kikuu cha tatizo na sisi mnataka tunyamaze?

Ni lazima wote tulitangaze tulioneshe na tulikemee bila kuoneana haya wala kujali kusemwa na wasiopenda mema.

Tukikaa kimya ina maana tumekubaliana nalo.

Soma...

There is something endemic in the Catholic Church which lends itself to sexual abuse.
Tatizo ndani ya kanisa katoliki (licha ya mengine) ni kubwa sana, usitetee maovu. Soma mapadri 4000 wameharibu watoto, mapadri 4000 waliostukiwa, duniani wangapi hawajastukiwa?

Halafu leo tunashangaa ushoga kuzagaa duniani na chanzo tunakijuwa...

Sex abuse and the Catholic Church

Hata kama ni muumini wa kanisa hilo usitetee huu uozo. Au ni mmoja wa hayo?
Hizo nguvu na mda unazotumia kufutilia imani ya wengine ungewekeza kwenye imani yako ungefika mbali sana
 
Bora yule anayejua kuna tatizo akatafuta namna ya kulitafuta kuliko yule anayejua kuna tatizo lakin akakaa kimya au kujifanya yeye ni msafi kumbe kila siku kulawiti watoto wadogo

Eti eenh,umesahau kuwa huyo ni virus na anti virus wake ni wao kutafuta mfumo sahihi wa maisha,otherwise soon itaidhinishwa kuwa sehemu ya maisha ya kawaidia na wataendelea kuzifungisha ndoa hizo katika majumba yao wanayoyaita ya Ibada
 
Naona maada ishahama imeamia kwenye dini mnaozungumzia udini hapa wote muanzishe uzi wenu
 
Hiyo ndo kichwa nawazaga huwa kinafikiliaga nn, tungepewahiki..hahahahahaha..kina Fulani na Fulani na Fulani wangeisoma namba, hii kitu imemuacha mkewe wa kwanza kafungwa gerezani hamuwezi amino, akimtuumu kwa ufisadi...bigup duterte.
 
Back
Top Bottom