Aisee?....bado nafikiria how is it possible, kama kila mwezi inaongezeka 2.0cm unamaana miezi sita ana 12.0 CM? ukijumlisha labda na zakwake ulizomkuta nazo mwanzo mfano 5 hivi, kwa hiyo unanimbia sasa ivi unacheza na mashine yenye 17.0Cm? achilia upana wa 0.3 kwa mwezi. Hivi unajua urefu wa rula ni 30.0CM? ebu chukua rula alafu itafute hiyo 17.0CM iko wapi.......aisee pole dada....inaonyesa na wewe uko vizuri huko chini....umetisha.
hahahahahahahaha kwakwakwakwakwa khaaaa aaaah aloo umenichekesha sana