Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,408
- 31,392
- Thread starter
- #481
WIKI HII KATIKA SIASA ZA US
TRUMP ZIARANI PHOENIX, ARIZONA
MASHAKA JUU YAKE ''UNFIT' YANAONGEZA
Rais Trump amemaliza hotuba yake katika mkutano wa mtindo wa Kampeni. Haikuwa ziara rasimu ya kiserikali
Baadhi ya viongozi wa Phoenix, AZ walimshauri aahirishe safari kwa kuzingatia suala la Charlottesville
Kwamba kulikuwa na uwezekano wa vurugu kutokana na jinsi alivyo handle tatizo hilo akionyesha moral failure
Mkutano wake wa leo uliojaza watu ndani na waandamaji nje, vurugu zimetokea kwa kiasi kidogo
Hotuba ya Rais Trump haielezeki ilikusudia nini kwa muda wa saa nzima na robo ikiacha maswali mengi kuhusu Rais wa Marekani na uwezo wa kuongoza taifa hilo hasa kuzingatia kile kinachosemwa 'unfit for office''
Trump alianza hotuba kwa kuzungumzia suala la Charlottesville. Hili ni suala ambao wengi wa wapiga debe wake hawakupenda aliongelee kutokana na utata wake. Jana alizungumzia akihutubia taifa kwa teleprompter
Leo alikuwa anatumia maneno yake mwenyewe na kuzua utata. Utata mkubwa ni pale alipoelezea hotuba zake zilizoleta matatizo akiondoa maneno mengi aliyoongea.
Kwa lugha nyingine akiongopa kati ya alichosema siku za awali na anachoeleza leo hii.
Hii ilikuwa low point kwa kujua media zina rekodi zote zilizo wazi
Katika suala hilo Trump alijichanganya akisema 'wanataka kufuta historia yetu' maneno ambayo white supremacists wameyatumia. Katika mlolongo wa hotuba kulikuwa na kujichanganya sana
Trump akageukia media akisema zinazotosha habari zake na kutaja media kama CNN na Washington post kama feki akizishambulia kikamilifu na akisifia Fox News ambayo mara nyingi ametengeneza nayo habari
Kundi jingine lilikuwa la senator McCain na Flake ambao ilikuwa kama anawaambia wapiga kura ni tatizo
Maseneta hao ni wa Republicans, McCain akipiga kura ya no kwa repeal and replace Obamacare, Flake akihoji uwezo na uimara wa Rais kutokana na 'moral failure aliyoonyesha Charlottesville''
Trump hakumuacha Obama kama kawaida yake na hilo lilitegemewa huku akimshambulia Hillary Clinton
Hakuna sababu zinazoweza kueleza kwa undani alifikaje kwa watu hao
Kama kawaida alisema katika miezi 8 ameweka rekodi ya ajira Milioni. Kipindi kama hicho mwaka jana Rais Obama alitengeneza ajira nyingi zaidi. Rais Trump anasema unemployment ni 17 yrs low.
Well, akichukua nchi tayari ilikuwa katika 4.9 kutoka 9 aliyoikuta Obama na sasa inasimama katika 4.3%
Jambo jingine alilozungumzia ni ujenzi wa ukuta akisema anaweza ku shut down the gov. kama haitapita
Trump hakuacha wajumbe wa baraza lake la CEO's anaosema wanamwita pembeni ili waongee naye
Hawa walijiuzulu kutokana na suala la Charlottesville
Kwa ufupi hotuba nzima haikuwa na mpangilio wala facts na hilo ndilo mjadala kwasasa. Alimshambulia kila aliyepingana naye bila mpangilio.
Kilichotokea leo ni Trump kuchochea kuni na kuwapa sababu ''wabaya'' wake. NYT inaripoti kuwa Senator majority McConnel ameeleza wasi wasi kama Trump anaweza ku salvage his presidency
Wawili hao hawajaongea kwa takribani wiki mbili
Jana Spika Ryan akimweleza Trump kama mtu aliye mess up katika suala la Charlottesville
Hotuba yake inachochea media na katika wiki mbili zijazo atakuwa na wakati mgumu sana kwa issue kadhaa
Itaendelea....
TRUMP ZIARANI PHOENIX, ARIZONA
MASHAKA JUU YAKE ''UNFIT' YANAONGEZA
Rais Trump amemaliza hotuba yake katika mkutano wa mtindo wa Kampeni. Haikuwa ziara rasimu ya kiserikali
Baadhi ya viongozi wa Phoenix, AZ walimshauri aahirishe safari kwa kuzingatia suala la Charlottesville
Kwamba kulikuwa na uwezekano wa vurugu kutokana na jinsi alivyo handle tatizo hilo akionyesha moral failure
Mkutano wake wa leo uliojaza watu ndani na waandamaji nje, vurugu zimetokea kwa kiasi kidogo
Hotuba ya Rais Trump haielezeki ilikusudia nini kwa muda wa saa nzima na robo ikiacha maswali mengi kuhusu Rais wa Marekani na uwezo wa kuongoza taifa hilo hasa kuzingatia kile kinachosemwa 'unfit for office''
Trump alianza hotuba kwa kuzungumzia suala la Charlottesville. Hili ni suala ambao wengi wa wapiga debe wake hawakupenda aliongelee kutokana na utata wake. Jana alizungumzia akihutubia taifa kwa teleprompter
Leo alikuwa anatumia maneno yake mwenyewe na kuzua utata. Utata mkubwa ni pale alipoelezea hotuba zake zilizoleta matatizo akiondoa maneno mengi aliyoongea.
Kwa lugha nyingine akiongopa kati ya alichosema siku za awali na anachoeleza leo hii.
Hii ilikuwa low point kwa kujua media zina rekodi zote zilizo wazi
Katika suala hilo Trump alijichanganya akisema 'wanataka kufuta historia yetu' maneno ambayo white supremacists wameyatumia. Katika mlolongo wa hotuba kulikuwa na kujichanganya sana
Trump akageukia media akisema zinazotosha habari zake na kutaja media kama CNN na Washington post kama feki akizishambulia kikamilifu na akisifia Fox News ambayo mara nyingi ametengeneza nayo habari
Kundi jingine lilikuwa la senator McCain na Flake ambao ilikuwa kama anawaambia wapiga kura ni tatizo
Maseneta hao ni wa Republicans, McCain akipiga kura ya no kwa repeal and replace Obamacare, Flake akihoji uwezo na uimara wa Rais kutokana na 'moral failure aliyoonyesha Charlottesville''
Trump hakumuacha Obama kama kawaida yake na hilo lilitegemewa huku akimshambulia Hillary Clinton
Hakuna sababu zinazoweza kueleza kwa undani alifikaje kwa watu hao
Kama kawaida alisema katika miezi 8 ameweka rekodi ya ajira Milioni. Kipindi kama hicho mwaka jana Rais Obama alitengeneza ajira nyingi zaidi. Rais Trump anasema unemployment ni 17 yrs low.
Well, akichukua nchi tayari ilikuwa katika 4.9 kutoka 9 aliyoikuta Obama na sasa inasimama katika 4.3%
Jambo jingine alilozungumzia ni ujenzi wa ukuta akisema anaweza ku shut down the gov. kama haitapita
Trump hakuacha wajumbe wa baraza lake la CEO's anaosema wanamwita pembeni ili waongee naye
Hawa walijiuzulu kutokana na suala la Charlottesville
Kwa ufupi hotuba nzima haikuwa na mpangilio wala facts na hilo ndilo mjadala kwasasa. Alimshambulia kila aliyepingana naye bila mpangilio.
Kilichotokea leo ni Trump kuchochea kuni na kuwapa sababu ''wabaya'' wake. NYT inaripoti kuwa Senator majority McConnel ameeleza wasi wasi kama Trump anaweza ku salvage his presidency
Wawili hao hawajaongea kwa takribani wiki mbili
Jana Spika Ryan akimweleza Trump kama mtu aliye mess up katika suala la Charlottesville
Hotuba yake inachochea media na katika wiki mbili zijazo atakuwa na wakati mgumu sana kwa issue kadhaa
Itaendelea....