Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,409
- 31,394
- Thread starter
- #201
YANAYOJIRI SAKATA LA RUSSIA NA US
Wiki hii imejaa mazonge zonge ya sakata la uchunguzi kuhusu Russia kuingilia uchaguzi
Kwa hali ilivyo ni rahisi kuchanganya mambo kwasababu imefanya hivyo makusudi
Sakata la uchunguzi limekuwepo kwa muda mrefu.
Wiki 3 zilizopita Rais Trump akaingiza la Obama na wire tapping ambalo vyombo vya usalama vilikanusha kutokea.
Baada ya taarifa hiyo, WH ikaja na utetezi wa surveillance. Tumeeleza huko nyuma tofauti ya hayo mawili
Rais Trump akasema hataomba radhi kwasababu katika wiki mbili litatokea jambo kumthibitisha sahihi
Mwenyekiti wa kamati ya bunge Nunes akasema kuna information anazifuatilia kuhusu hilo
Wiki hii alikwenda WH, na kisha kuongea na vyombo vya habari.
Alisema, hakuna ushahidi wa wiretap lakini kuna nyaraka zinazohusu surveillance(incidentally)
Taarifa hiyo hakuwa ameifikisha kamati ya intel, jambo lililozua mtafaruku
Imethibitika, kazi ya kupata nyaraka za surveillance alipewa WH
Hoja ikaja, kwanini hakujadili na kamati kabla ya kwenda Ikulu? Nani alimkaribisha Ikulu?
Na kwanini hakusema alikwenda siku mbili ? Kwanini alikwenda kwenye eneo linalochunguzwa?
Kwanini taarifa yake imefuatilia kauli ya 'wiki mbili' na ile ya jambo linakuja yake mwenyewe?
Nunes alijitetea hata hivyo kuna shinikizo ajiuzulu, kwamba, kamati haitakuwa huru
Shinikizo hilo linatoka Dem na GOP wanataka kwenda kwa kina katika suala la Russia
Katika hali isiyotarajiwa Nunes anasema lazima suala la leak lifanyiwe kazi na kalifanya agenda
Nunes alikuwa mshauri wakati wa mpito 'Transition' kuelekea WH
Anachofanya ni kupoteza la Russia, kusafisha ''wire ta'' na kufanya leak kama tatizo
Kufuatilia hayo, Seneti inafanya uchunguzi kuhusu Russia na si menginenyo
Hapo ndipo tunapata kamati mbili, ya Nunes (House) ambayo imepoteza credibility
Kamati ya seneti inayofanya uchunguzi kwa utaratibu wake.
Halafu kuna FBI na Intel community
Nunes amesaidia hoja ya kamati huru au proscutor kuwa na mashiko kwani yake haina credibility
Watu waanza kuhaha, wengine wapo tayari kutosa jahazi kama tunavyoona kwa Flynn
Inaendelea....
Wiki hii imejaa mazonge zonge ya sakata la uchunguzi kuhusu Russia kuingilia uchaguzi
Kwa hali ilivyo ni rahisi kuchanganya mambo kwasababu imefanya hivyo makusudi
Sakata la uchunguzi limekuwepo kwa muda mrefu.
Wiki 3 zilizopita Rais Trump akaingiza la Obama na wire tapping ambalo vyombo vya usalama vilikanusha kutokea.
Baada ya taarifa hiyo, WH ikaja na utetezi wa surveillance. Tumeeleza huko nyuma tofauti ya hayo mawili
Rais Trump akasema hataomba radhi kwasababu katika wiki mbili litatokea jambo kumthibitisha sahihi
Mwenyekiti wa kamati ya bunge Nunes akasema kuna information anazifuatilia kuhusu hilo
Wiki hii alikwenda WH, na kisha kuongea na vyombo vya habari.
Alisema, hakuna ushahidi wa wiretap lakini kuna nyaraka zinazohusu surveillance(incidentally)
Taarifa hiyo hakuwa ameifikisha kamati ya intel, jambo lililozua mtafaruku
Imethibitika, kazi ya kupata nyaraka za surveillance alipewa WH
Hoja ikaja, kwanini hakujadili na kamati kabla ya kwenda Ikulu? Nani alimkaribisha Ikulu?
Na kwanini hakusema alikwenda siku mbili ? Kwanini alikwenda kwenye eneo linalochunguzwa?
Kwanini taarifa yake imefuatilia kauli ya 'wiki mbili' na ile ya jambo linakuja yake mwenyewe?
Nunes alijitetea hata hivyo kuna shinikizo ajiuzulu, kwamba, kamati haitakuwa huru
Shinikizo hilo linatoka Dem na GOP wanataka kwenda kwa kina katika suala la Russia
Katika hali isiyotarajiwa Nunes anasema lazima suala la leak lifanyiwe kazi na kalifanya agenda
Nunes alikuwa mshauri wakati wa mpito 'Transition' kuelekea WH
Anachofanya ni kupoteza la Russia, kusafisha ''wire ta'' na kufanya leak kama tatizo
Kufuatilia hayo, Seneti inafanya uchunguzi kuhusu Russia na si menginenyo
Hapo ndipo tunapata kamati mbili, ya Nunes (House) ambayo imepoteza credibility
Kamati ya seneti inayofanya uchunguzi kwa utaratibu wake.
Halafu kuna FBI na Intel community
Nunes amesaidia hoja ya kamati huru au proscutor kuwa na mashiko kwani yake haina credibility
Watu waanza kuhaha, wengine wapo tayari kutosa jahazi kama tunavyoona kwa Flynn
Inaendelea....