Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,409
- 31,393
- Thread starter
- #41
MASHAKA MASOKO YA MITAJI
Tumewahi kueleza uchumi wa mataifa makubwa haupimwi kwa kwa thamani za masoko ya mitaji.
Kushuka na kupanda kwa masoko ni jambo la kawaida katika biashara za kila siku
Masoko ni sehemu tu ya picha nzima ya hali ya uwekezaji na si kupima afya ya uchumi kwa ujumla
Kuna vigezo vingi ikiwemo GDP, manufacturing index, Real estate, consumer confidence, job numbers n.k orodha inaendelea
Mtakumbuka tulisema wawekezaji ni 'sensitive' katika masuala ya kisiasa,kiuchumi na jamii
Tabia ya masoko, hayataki 'uncertainty'.
Uchumi ulipokuwa unajongea wakati wa obama masoko yalivunja rekodi.
Mfano, kutoka point 6,000 hadi 19000+ wakati anaondoka. Utulivu wa Obama ulisaidia
Kwa upande mwingine masoko hupenda 'uhuru'. Kuingia kwa Trump aliyeahidi kuondoa sheria kuliamsha ari ya wawekezaji na masoko kuongeza point hadi kufikia 20,000
Hili liliitwa Trump factor kwa maana wawekezaji waliona mazingira mazuri ikiwemo kuondoa 'Obamacare' , kwa baadhi ya wawekazaji na waajiri inaonekana mzigo.
Tuliwahi kujadili kuwa kauli za mgombea, au Rais mteule si thabiti na hazina uzito
Kauli za mtawala ndizo huongoza dira za kisiasa na kiuchumi.
Trump alipo tweet hakuna aliyemchukulia kwa uzito, alikuwa mgombea na Rais mteule
Baada ya kuchukua madaraka, kauli zake zina beba uzito kuliko inavyodhaniwa
Mfano, amri ya kutaka taasisi ziondoe 'burden ' kwa ACA (Obamacare) haikuwa na maelezo
Hilo lilitosha kuonyesha mashaka na kama tulivyosema masoko hayaki uncertainty
Kuondoa TPP na kupitia upya NAFTA kulipelekea mashaka, investors hawajui nini kitafuata
Ugomvi wa Trump na Mexico kuhusu wall umeongezeka mashaka kwani nchi zenye masilahi makubwa ya kiuchumi kutoka kila upande
Exec order ya marufuku ya wakimbizi, na visa yamepelekea mshtuko US na duniani.
Kuna tension kati ya US na nchi kama Iran na sasa Iraq ambazo ni washirika wa energy
Kwa ufupi 'tension' inawafanya investors waone risk katika investment
Hayo machache yanapelekea 'uncertainty' na inakuwa reflected katika masoko kama siku ya jana ambapo thamani zilishuka. Hilo haliwezi kuwa na athari kiuchumi kwa muda huu
Athari zitakuwepo mashaka yakiendelea siku hadi siku kama ilivyo sasa
Kwa muda mrefu wawekezaji wataingiwa na hofu kwa kile kinachosemwa global conflicts.
Kama hakuna investment uchumi utakuwa na matatizo na hasa suala la ajira.
Investment Trump anayofanyia kazi inaweza kutozaa matunda yanayotarajiwa
Trump effect ipo in both ways, positive and negative
Akiwa Rais hapaswi kuamsha hisia au tension . Kauli za Trump zina effect US na duniani
ACT AG AFUKUZWA KAZI
Inaendelea
Tumewahi kueleza uchumi wa mataifa makubwa haupimwi kwa kwa thamani za masoko ya mitaji.
Kushuka na kupanda kwa masoko ni jambo la kawaida katika biashara za kila siku
Masoko ni sehemu tu ya picha nzima ya hali ya uwekezaji na si kupima afya ya uchumi kwa ujumla
Kuna vigezo vingi ikiwemo GDP, manufacturing index, Real estate, consumer confidence, job numbers n.k orodha inaendelea
Mtakumbuka tulisema wawekezaji ni 'sensitive' katika masuala ya kisiasa,kiuchumi na jamii
Tabia ya masoko, hayataki 'uncertainty'.
Uchumi ulipokuwa unajongea wakati wa obama masoko yalivunja rekodi.
Mfano, kutoka point 6,000 hadi 19000+ wakati anaondoka. Utulivu wa Obama ulisaidia
Kwa upande mwingine masoko hupenda 'uhuru'. Kuingia kwa Trump aliyeahidi kuondoa sheria kuliamsha ari ya wawekezaji na masoko kuongeza point hadi kufikia 20,000
Hili liliitwa Trump factor kwa maana wawekezaji waliona mazingira mazuri ikiwemo kuondoa 'Obamacare' , kwa baadhi ya wawekazaji na waajiri inaonekana mzigo.
Tuliwahi kujadili kuwa kauli za mgombea, au Rais mteule si thabiti na hazina uzito
Kauli za mtawala ndizo huongoza dira za kisiasa na kiuchumi.
Trump alipo tweet hakuna aliyemchukulia kwa uzito, alikuwa mgombea na Rais mteule
Baada ya kuchukua madaraka, kauli zake zina beba uzito kuliko inavyodhaniwa
Mfano, amri ya kutaka taasisi ziondoe 'burden ' kwa ACA (Obamacare) haikuwa na maelezo
Hilo lilitosha kuonyesha mashaka na kama tulivyosema masoko hayaki uncertainty
Kuondoa TPP na kupitia upya NAFTA kulipelekea mashaka, investors hawajui nini kitafuata
Ugomvi wa Trump na Mexico kuhusu wall umeongezeka mashaka kwani nchi zenye masilahi makubwa ya kiuchumi kutoka kila upande
Exec order ya marufuku ya wakimbizi, na visa yamepelekea mshtuko US na duniani.
Kuna tension kati ya US na nchi kama Iran na sasa Iraq ambazo ni washirika wa energy
Kwa ufupi 'tension' inawafanya investors waone risk katika investment
Hayo machache yanapelekea 'uncertainty' na inakuwa reflected katika masoko kama siku ya jana ambapo thamani zilishuka. Hilo haliwezi kuwa na athari kiuchumi kwa muda huu
Athari zitakuwepo mashaka yakiendelea siku hadi siku kama ilivyo sasa
Kwa muda mrefu wawekezaji wataingiwa na hofu kwa kile kinachosemwa global conflicts.
Kama hakuna investment uchumi utakuwa na matatizo na hasa suala la ajira.
Investment Trump anayofanyia kazi inaweza kutozaa matunda yanayotarajiwa
Trump effect ipo in both ways, positive and negative
Akiwa Rais hapaswi kuamsha hisia au tension . Kauli za Trump zina effect US na duniani
ACT AG AFUKUZWA KAZI
Inaendelea