Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Ndugu El Jefe Nafikiri tunachanganya mambo mengi mno kiasi cha kuishia kupoteza mtiririko mzima wa mada iliyopo mezani kwa sasa hivi na hii haitusaidii chochote. Hebu tupitie facts moja baada ya nyingine kwa umakini kuhusu sakata la Senate, Barr na Mueler bila kuchanganya mambo mengine kwanza;
Ukweli ni kwamba Mueller aliwasilisha pia brief summary ya ripoti yake yenye redactions ambayo Barr alitakiwa aitoe kama ilivyo lakini Barr aliiweka kapuni kumlinda Trump na badala yake akaandika ya kwake na kupotosha ripoti nzima...
Barr lied to Congress and that is a crime.