Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,410
- 31,395
- Thread starter
- #381
jitegemee , umeleta hoja nzito sana
Hakuna shaka mgogoro wa muungano ni wa kiuchumi. Wapo watakaopindishaukwelikukidhi haja zao.
Kwetu sisi,madai ya wazanzibar ni azma yao ya kujitegemea kiuchumi na kunufaika kiuchumi ndani ya muungano
Kujitegemea Wmeanza bila kushirikisha Tanganyika. Mfano,wanapoamua kuunda taasisi zao lengo ni kujiwezesha kiuchumi. Wana bandari,mashirika yao na taasisi zao ambazo kimsingizikiwa za muungano zingeathiri chochote.
Ugomvi mkuu ulikuwa gesi na mafuta wasiyotaka yawe ya JMT
Kwa mfano, hakuna sababu za kuwa na shirika la umeme zeco wakati bili zinabebwa na Tanesco.
Zeco ni chaka la wezi,mzigo unaotokana na wizi huo ni wa Tanganyika kwa jina la JMT
Katika kunufaika kiuchumi ndani ya muungano, hapa ndipo lilipo tatizo. Watanganyikawanapaswa kuwashukuru wazanzibar waliofungua ‘pandora box' na kuelewa mengiyenye utata yasiyo na manufaa kwao
Umezungumzia suala la BoT katika uzi ulioonyesha. Hisa za BoTzimetumika kufanikisha azma za utegemezi kiuchumi.
Mathalan, 7% wanayopata wznz,awali ilidaiwa ni hisa za muungano. Tumeuliza, hesabu zimepigwa kwa njia ganihakuna jibu
Tukaambiwa ni kutokana na misaada na mikopo. Nako tukauliza, hesabu zimezingatia nini, hakunajibu.
Tumeambiwa 7% ni sehemu ya pato la taifa. Tumeuliza, ni patola Tanganyika ambalo ni takribani Trillion 12 kwa mwaka huu au ni bajeti ya JMTambayo ni trillion 19. Hakuna jibu lililopatikana.
Hivyo, unaweza kuona hisa zisivyoelezeka, na yote yakiwa kwa gharama za Mtanganyika
Tumeongelea 21% ya ajira ambalo ni uchumi. Tumeuliza, namba imepatikana kutokana na nini na akina nani walikaa kitako. Jibu ni hakuna namna, ila tunajua waliokaa ni wznz na kuamua
Tumeona hiyo 21% ndiyo inawapa wznz 1.75Bilion kwa mwezi kama kodi za wafanyakazi wa muungano.
Tumeuliza, ni wafanyakazi wangapi wa znz katika muungano wanaoweza kulipa kodi ya Bilion 1.75? Hakuna jibu.
Tumeuliza je serikali ikipunguza ukubwa kiasi hichokitapungua au ni fixed, hakuna jibu.
Tumehoji, je kodi hizo zinahusu wafanyakazi wa znz katika muungano katika wizara 4 au ni pamoja na wizara, idara, taasisi na mashirika yasiyo ya muungano? Hakuna mwenye jibu.
Wapo wapuuzi wachache wanaosema ni kutokana na misaada namikopo!!!
Tumehoji ni nini znz inaleta ndani ya muungano Zaidi yamanung'uniko? Hakuna jibu lilillopo ni mikopo na misaada.
Tena wapuuzi wanasemaTanganyika inafaidika kwa jina la Tanzania. Tukasema kwanini znz isikope yenyewe?
Na Tanganyika ambayo haipo itakwepaje jina la Tanzania ikiwa haipo? Hakuna jibu.
Ukiangalia hayo na mengine tuliyoacha kuyasema, muundo wasasa na wa Chenge hauwezi kutoa jibu hata siku moja. Kitakachoendelea ni Znz kuwa tegemezi na tatizo.
Ni tatizo kwasababu haina uwajibikaji, hawaelewi gharama auuchungu wa muungano
Hivyo, kila sikuwatakuja kudai vyeo, madaraka na nyongeza za posho.
Itafika mahali hawatapaswa kufanya kazi kwani ruzuku wanazopata zinatosha kabisa kuwaendeleza.
Kwa hali ilivyo, Tanganyika imeanza kuchoka na hilo ndilo litachochoea kifo cha muungano siku moja
CCM inayoshikilia muungano kwa njia za hila zisizo na majibuimeshaanza kupoteza nguvu za kisiasa, kiutawala na ushawishi.
Ramani ya tawala imebadilika na muda si mrefu hakutakuwa na majadiliano bali kugawana kilichopo kama kipo, muungano kwisha
Tusemezane
Hakuna shaka mgogoro wa muungano ni wa kiuchumi. Wapo watakaopindishaukwelikukidhi haja zao.
Kwetu sisi,madai ya wazanzibar ni azma yao ya kujitegemea kiuchumi na kunufaika kiuchumi ndani ya muungano
Kujitegemea Wmeanza bila kushirikisha Tanganyika. Mfano,wanapoamua kuunda taasisi zao lengo ni kujiwezesha kiuchumi. Wana bandari,mashirika yao na taasisi zao ambazo kimsingizikiwa za muungano zingeathiri chochote.
Ugomvi mkuu ulikuwa gesi na mafuta wasiyotaka yawe ya JMT
Kwa mfano, hakuna sababu za kuwa na shirika la umeme zeco wakati bili zinabebwa na Tanesco.
Zeco ni chaka la wezi,mzigo unaotokana na wizi huo ni wa Tanganyika kwa jina la JMT
Katika kunufaika kiuchumi ndani ya muungano, hapa ndipo lilipo tatizo. Watanganyikawanapaswa kuwashukuru wazanzibar waliofungua ‘pandora box' na kuelewa mengiyenye utata yasiyo na manufaa kwao
Umezungumzia suala la BoT katika uzi ulioonyesha. Hisa za BoTzimetumika kufanikisha azma za utegemezi kiuchumi.
Mathalan, 7% wanayopata wznz,awali ilidaiwa ni hisa za muungano. Tumeuliza, hesabu zimepigwa kwa njia ganihakuna jibu
Tukaambiwa ni kutokana na misaada na mikopo. Nako tukauliza, hesabu zimezingatia nini, hakunajibu.
Tumeambiwa 7% ni sehemu ya pato la taifa. Tumeuliza, ni patola Tanganyika ambalo ni takribani Trillion 12 kwa mwaka huu au ni bajeti ya JMTambayo ni trillion 19. Hakuna jibu lililopatikana.
Hivyo, unaweza kuona hisa zisivyoelezeka, na yote yakiwa kwa gharama za Mtanganyika
Tumeongelea 21% ya ajira ambalo ni uchumi. Tumeuliza, namba imepatikana kutokana na nini na akina nani walikaa kitako. Jibu ni hakuna namna, ila tunajua waliokaa ni wznz na kuamua
Tumeona hiyo 21% ndiyo inawapa wznz 1.75Bilion kwa mwezi kama kodi za wafanyakazi wa muungano.
Tumeuliza, ni wafanyakazi wangapi wa znz katika muungano wanaoweza kulipa kodi ya Bilion 1.75? Hakuna jibu.
Tumeuliza je serikali ikipunguza ukubwa kiasi hichokitapungua au ni fixed, hakuna jibu.
Tumehoji, je kodi hizo zinahusu wafanyakazi wa znz katika muungano katika wizara 4 au ni pamoja na wizara, idara, taasisi na mashirika yasiyo ya muungano? Hakuna mwenye jibu.
Wapo wapuuzi wachache wanaosema ni kutokana na misaada namikopo!!!
Tumehoji ni nini znz inaleta ndani ya muungano Zaidi yamanung'uniko? Hakuna jibu lilillopo ni mikopo na misaada.
Tena wapuuzi wanasemaTanganyika inafaidika kwa jina la Tanzania. Tukasema kwanini znz isikope yenyewe?
Na Tanganyika ambayo haipo itakwepaje jina la Tanzania ikiwa haipo? Hakuna jibu.
Ukiangalia hayo na mengine tuliyoacha kuyasema, muundo wasasa na wa Chenge hauwezi kutoa jibu hata siku moja. Kitakachoendelea ni Znz kuwa tegemezi na tatizo.
Ni tatizo kwasababu haina uwajibikaji, hawaelewi gharama auuchungu wa muungano
Hivyo, kila sikuwatakuja kudai vyeo, madaraka na nyongeza za posho.
Itafika mahali hawatapaswa kufanya kazi kwani ruzuku wanazopata zinatosha kabisa kuwaendeleza.
Kwa hali ilivyo, Tanganyika imeanza kuchoka na hilo ndilo litachochoea kifo cha muungano siku moja
CCM inayoshikilia muungano kwa njia za hila zisizo na majibuimeshaanza kupoteza nguvu za kisiasa, kiutawala na ushawishi.
Ramani ya tawala imebadilika na muda si mrefu hakutakuwa na majadiliano bali kugawana kilichopo kama kipo, muungano kwisha
Tusemezane
Last edited by a moderator: