Mkuu maandiko yanatuasa kuwa kuna maisha mengine baada ya kifo.Hayo mambo yanayompendeza Mungu ndio kanuni ya kuishi vizuri baada ya kifo.Kanuni ya kuishi vizuri kabla ya kifo sijawahi kuisoma kwenye maandiko matakatifu.Unaweza kunipa mwanga ova.Habari,
Je unajua kwamba duniani tunaishi muda mfupi sana? fikiria hivi, mwaka mmoja ni siku 365, miaka 10 ni siku 3650 na miaka 100 ni siku 36,500 tu...
Kama miaka 100 ni siku elfu thelathini na sita na mia tano, na wengi wetu hatutofika umri huo, hii ina maana kwamba wengi wetu humu hatutoishi siku 36,500.
Huu ndio ukweli,
Duniani ni sehemu ya kuishi muda mfupi sana hivyo tujitahidi kufanya mambo mema ya kumpendeza Mwenyezi Mungu.
Ahsante...