Mtamba wa Panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 790
- 1,961
- Thread starter
- #41
Muda ni Mfupi yani mfupi mfupi sana,
Kuna mtu Robin sharma aliwahi kuandika tunapozaliwa unalia huku ulimwengu unafurahia so yatupasa kuishi maisha ambayo tutapokufa tufurahie huku ulimwengu ukilia
Ujumbe mzuri sana huu
Watu tumekazania mambo yasiyo na maana... tutaumbuka tu!

