BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Hahahahahahah lol! hii huwa inaitwa MILWATU na si VIATU.
Fisi maji, kibwengo na kicheche nasikia napanya hayuko nyuma.Mie nataka nivae roho ya mahaba, mnyama gani huwa anakuwa na mahaba muda wote nivae viatu vyake? Heheheheee
Cha kushoto dume cha kulia jike.
nyegereMie nataka nivae roho ya mahaba, mnyama gani huwa anakuwa na mahaba muda wote nivae viatu vyake? Heheheheee