Hata wajawazito unaambiwa matibabu ni bure, lakini kawauliza je ni bure kweli?Matibabu pale ocean road naambiwa ni kama bure vile!
Sina uhakika.
Pole kwa mtihani unaokukabili.
Kwa kuongezea vipambanuzi ulivyoorodhesha.Hata wajawazito unaambiwa matibabu ni bure, lakini kawauliza je ni bure kweli?
Hata elimu tunaambiwa ni bure je kawaulize wanaosomesha watoto saint kayumba ni bure kweli?
Na mimi ntashiliki endapo ukiweka hivyo vielelezo alivyosema Nemo.Pole sana, mungu akusaidie na kukuponya. Mimi nipo tayari kukuchangia hela ya matibabu na pia kukuombea mchango from my coworkers, kama hutojali kuweka wazi vielelezo vitavyosaidia kuthibitisha ukweli wa hii habari. eg. makaratasi ya huko hospitali ocean road re: the diagnosis and required treatment
Acha upuuuzi......watu wako seriousNenda kimara korogwe kuna kanisa wanapaita kwa mastay kkt watu wanapona cancer easy tu if una imani iyo iskusumbue ila kwa hospital itakusumbua na kukutia tu hofu bure
kifo...auMungu anajua anachokusudia.
Inawezekana pia mkuu.kifo...au