Kombo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,812
- 509
Mkuu, hakuna ajabu hapo!
Mbona hata huku uswazi ipo! hasa hasa kwa imani yako! Utasikia tokeni marehemu anataka kumuaga mkewe! Wee ndio unaona ajabu? Au!
Daaaah, ngoja niende kupata kahawa kwanza!
Uko njema Mkuu?