Duniani kuna mabara mangapi?

Duniani kuna mabara mangapi?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
10,889
Reaction score
18,836
Wakuu sana, eti kijiografia duniani kuna mabara mangapi?
world-map-isolated_98292-4295.jpg
 
Yako 15 Mkuu.

Africa
Europe
Asia
Australia
South America
North America
East America
West America
Antarctica

( mengine 6 ni forbidden kuyataja...naogopa kuchukuliwa na upepo wa kisurisuri.....naogopa kubanwa kifua )...nicheck inbox kama unataka kuyajua
 
Mbona zipo nyingi kuna mabara ya hapa sinza,kuna mbezi zipo kama 200,mbagala usiseme zipo mpaka za kutoa mimba wewe unataka mabara gani njoo inbox nikupe namba
 
Yako 15 Mkuu.

Africa
Europe
Asia
Australia
South America
North America
East America
West America
Antarctica

( mengine 6 ni forbidden kuyataja...naogopa kuchukuliwa na upepo wa kisurisuri.....naogopa kubanwa kifua )...nicheck inbox kama unataka kuyajua
Australia ni bara? Sijawahi sikia bara linaitwa Australia.
 
Wakuu sana, eti kijiografia duniani kuna mabara mangapi?
world-map-isolated_98292-4295.jpg


Ajabu hiii picha Africa ni kubwa kuliko Russia...lakini wanachora Russia kubwa kuliko Sahara desert..
Ukweli Russia inaingia Sahara desert na eneo linabaki...
Wewe tazama square meters za mraba za Russia na Sahara utapata jibu
 
Back
Top Bottom