Duniani kote hakunaga maandamano ya hivyo

Duniani kote hakunaga maandamano ya hivyo

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
3,621
Reaction score
6,512
Kabla haujasoma ninachotaka kusema, embu tuelewane kidogo. Sijawahi kuisifia wala kuitetea CCM na serikali zake. Siungi mkono vitendo vyovyote vya unyanyasaji, utekaji, mauaji na uminywaji wa haki na uhuru wa raia wa Tanzania. Baada ya kusema hayo, naomba niendelee na mada yangu ya leo.

Hauwezi kutangaza takribani miezi miwili kabla kuwa unaenda kufanya maandamano ambayo nia yake ni kuiondoa serikali halafu uende kufanikiwa. Hivi mnadhani miezi hii yote hao CCM na serikali yake wamekaa tu wanawasubiri nyie hiyo October 29 muende kuwaondoa?

Maandamano ya kweli, yenye nguvu na yanayofanikiwa huwa yanaibuka tu "organically" na yanachochewa na hasira na hisia kali kutokana na matendo maovu ya wakati husika siyo haya ya kutangaza miezi miwili kabla.

Kwa Tanzania yametokea matendo mangapi ambayo yangeweza kuibua maandamano lakini kimya kikatanda mitaani hadi watu wakapoa? Watu wamebaki kugugumia na kunong'onezana tu ila hakuna action. Nguvu hiyo ya kuwavuta hao watu waingie road itatoka wapi wakati mmewapa watesi wenu muda wa kujiandaa na kujizatiti na wakati huo huo hisia za watu kupungua?

Kuna jambo nililisema kuhusu Polepole, Mpina na Mange wiki kadhaa nyuma katika post yangu ya mwisho na nasimama na maneno yangu maana baada ya nilichoandika ndiyo siku kadhaa nikasikia "ametekwa". Nasimama na kauli yangu ya awali.

Narudia jambo ambalo nimelisema mara kwa mara. Watanzania bila kuamua kusimama wenyewe bila kutegeana au kutegemea viongozi au watu fulani wawaongoze (au sasa hivi mmeingizwa chaka la eti jeshi lipo tayari kuwasaidia), hamtaiondoa CCM kamwe.
 
Tarehe 29 CCM ambavyo wanasifa watajaza wanajeshi barabarani *****. Hii nchi kazi ipo
 
Maandamano ya AMANI nitayaunga mkono lakini siwezi kuunga mkono Insurrection.
 
Shida hata si kupanga. Ni utayari wa watu. Wakitoka watu laki wasimamishe jiji hata kama walipanga mwaka mzima serikali itafanya nini?

Shida ni utayari wa watu kujitokeza kwa wingi.

Hakuna njia yoyote serikali inaweza kujiami kuwazuia Watu wakitoka kwa maelfu ya maelfu. Wataomba poo wenyewe.

Kama hiyo njia ingekuwepo basi mikutano ya CCM isingejaa matamko kuhusu kuandamana, wala jeshi lisingekuwa lina angaika kuwatisha watu. Pona yao na maombi yao ni kuwa watoke wachache, kukosekane muitikio. Vinginevyo haichukui hata masaa matano Samia atakimbia na Helkopta kuelekea Oman.

HAIPO SERIKALI YA KUSHINDANA NA SAUTI YA UMMA. HAIPO!
 
20251017_232135.jpg
 
Shida hata si kupanga. Ni utayari wa watu. Wakitoka watu laki wasimamishe jiji hata kama walipanga mwaka mzima serikali itafanya nini?

Shida ni utayari wa watu kujitokeza kwa wingi.

Hakuna njia yoyote serikali inaweza kujiami kuwazuia Watu wakitoka kwa maelfu ya maelfu. Wataomba poo wenyewe.

Kama hiyo njia ingekuwepo basi mikutano ya CCM isingejaa matamko kuhusu kuandamana, wala jeshi lisingekuwa lina angaika kuwatisha watu. Pona yao na maombi yao ni kuwa watoke wachache, kukosekane muitikio. Vinginevyo haichukui hata masaa matano Samia atakimbia na Helkopta kuelekea Oman.

HAIPO SERIKALI YA KUSHINDANA NA SAUTI YA UMMA. HAIPO!
Kutangaza maandamano miezi miwili mitatu mbele ni chaka tu la kuwapoteza watanzania ambao kweli wana machungu.

Hauwezi na ni dalili za kukosa hekima na maarifa kutishia nyau utawala ambao umeonyesha wazi uko tayari kufanya lolote kunyamazisha watu.
 
Kutangaza maandamano miezi miwili mitatu mbele ni chaka tu la kuwapoteza watanzania ambao kweli wana machungu.

Hauwezi na ni dalili za kukosa hekima na maarifa kutishia nyau utawala ambao umeonyesha wazi uko tayari kufanya lolote kunyamazisha watu.
Kama kutangaza miezi miwili kabla ni kutishia nyau, Ni nani Kati ya dola na waandamanaji kaonesha kutishika mpaka sasa? 😆
 
Kama kutangaza miezi miwili kabla ni kutishia nyau, Ni nani Kati ya dola na waandamanaji kaonesha kutishika mpaka sasa? 😆
Ndiyo point yangu ipo hapo. Fikiria kauli yako kwa mapana utaelewa ninachotaka kusema kimo humo humo kwenye kauli yako.
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Ndiyo point yangu ipo hapo. Fikiria kauli yako kwa mapana utaelewa ninachotaka kusema kimo humo humo kwenye kauli yako.
Hapana mkuu!
Wewe unadai kwamba kufeli kwa maandamano ni pamoja na kuyatangaza miezi miwili kabla.

Mimi nadai yakwamba kufeli kwa maandamano ni watu kukosa utayari. Si suala la kutangaza muda wa miezi miwili kabla. Maana wakitoka watu laki 2 na kusimama pamoja serikali ita freeze tu hata kama walikuwa wamejiandaa kwa namna yoyote.

Maandamano ya Bangladesh ya 2024 yalianza kwa kupangwa tarehe kama maandamano ya amani ya wanafunzi wa vyuo. Baadae raia nao wakajoin, ikaripuka na Bi Hasna akakimbilia India.
 
Hapana mkuu!
Wewe unadai kwamba kufeli kwa maandamano ni pamoja na kuyatangaza miezi miwili kabla.

Mimi nadai yakwamba kufeli kwa maandamano ni watu kukosa utayari. Si suala la kutangaza muda wa miezi miwili kabla. Maana wakitoka watu laki 2 na kusimama pamoja serikali ita freeze tu hata kama walikuwa wamejiandaa kwa namna yoyote.

Maandamano ya Bangladesh ya 2024 yalianza kwa kupangwa tarehe kama maandamano ya amani ya wanafunzi wa vyuo. Baadae raia nao wakajoin, ikaripuka na Bi Hasna akakimbilia India.
Huo utayari uko pande zote mbili. Unapowapa miezi miwili mitatu na wao wanajipanga. Ndiyo wanawaletea kina Tesha na nyie mkajaa mazima. Miezi miwili hii ndiyo imepelekea mikakati ambayo mingine mnaiona inafanyika wazi na mengine inaendelea kwa siri kuhakikisha hayo maandamano hayatokei.

Umetoa mfano wa Bangladesh lakini umeshindwa kuona utofauti wa malengo ya maandamano hayo pamoja na kwamba umetaja mwenyewe.

Maandalizi ya wiki moja nitaelewa ila miezi miwili, sijui mitatu, tena kwa malengo kama yanayosemwa, labda siyo serikali ya CCM.
 
Kabla haujasoma ninachotaka kusema, embu tuelewane kidogo. Sijawahi kuisifia wala kuitetea CCM na serikali zake. Siungi mkono vitendo vyovyote vya unyanyasaji, utekaji, mauaji na uminywaji wa haki na uhuru wa raia wa Tanzania. Baada ya kusema hayo, naomba niendelee na mada yangu ya leo.

Hauwezi kutangaza takribani miezi miwili kabla kuwa unaenda kufanya maandamano ambayo nia yake ni kuiondoa serikali halafu uende kufanikiwa. Hivi mnadhani miezi hii yote hao CCM na serikali yake wamekaa tu wanawasubiri nyie hiyo October 29 muende kuwaondoa?

Maandamano ya kweli, yenye nguvu na yanayofanikiwa huwa yanaibuka tu "organically" na yanachochewa na hasira na hisia kali kutokana na matendo maovu ya wakati husika siyo haya ya kutangaza miezi miwili kabla.

Kwa Tanzania yametokea matendo mangapi ambayo yangeweza kuibua maandamano lakini kimya kikatanda mitaani hadi watu wakapoa? Watu wamebaki kugugumia na kunong'onezana tu ila hakuna action. Nguvu hiyo ya kuwavuta hao watu waingie road itatoka wapi wakati mmewapa watesi wenu muda wa kujiandaa na kujizatiti na hisia za watu kupungua?

Kuna jambo nililisema kuhusu Polepole, Mpina na Mange wiki kadhaa nyuma katika post yangu ya mwisho na nasimama na maneno yangu maana baada ya nilichoandika ndiyo siku kadhaa nikasikia "ametekwa". Nasimama na kauli yangu ya awali.

Narudia jambo ambalo nimelisema mara kwa mara. Watanzania bila kuamua kusimama wenyewe bila kutegeana au kutegemea viongozi au watu fulani wawaongoze (au sasa hivi mmeingizwa chaka la eti jeshi lipo tayari kuwasaidia), hamtaiondoa CCM kamwe.

..maandamano kama ya Wamaasai wa Ngorongoro?

..au maandamano ya mapokezi ya Tundu Lissu alivyorejea mara ya kwanza toka kwenye matibabu?
 
..maandamano kama ya Wamaasai wa Ngorongoro?

..au maandamano ya mapokezi ya Tundu Lissu alivyorejea mara ya kwanza toka kwenye matibabu?
Mnatoa mifano ya maandamano yasiyo na uzito sawa na hayo yanayoongelewa. Hata Farakhan alipeleka watu milioni 1 Washington DC na hakuna aliyemzuia.
 
Mnatoa mifano ya maandamano yasiyo na uzito sawa na hayo yanayoongelewa. Hata Farakhan alipeleka watu milioni 1 Washington DC na hakuna aliyemzuia.

..mapokezi ya Lissu, na maandamano ya Ngorongoro, ndio maandamano makubwa yaliyofanyika katika awamu ya 5, na awamu ya 6. Hoja yangu ni kwamba maandamano Tanzania yanawezekana.
 
Back
Top Bottom