Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,125
- 2,449
Kataa au ukubali, wale wa bibilia, Kaini alimuua ndugu yake wa damu kisa kafanikiwa kwenye Dhabihu kuliko yeye, hayo ndo yanaendelea mpaka leo hapa duniani, kama unadegemea ndugu yako wa damu akusaidie utoke ki maisha... Basi sahau, huyo atakua mnafiki na atakufanyia kitu mbaya usifanikiwe kumzidi!! Ukweli ni ngumu ndugu kukusaidia ufanikiwe kuliko yeye, ni heri marafiki mtatoana kimaisha!