Maarko
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,196
- 609
Ni kweli kuwa Dunia yetu Ina umbo la yai, hii inapelekea baadhi ya maeneo Duniani kuwa na Usiku mrefu kuliko mchana au Mchana kuwa mrefu kuliko Usiku, na sehemu nyingine kwa kipindi fulani kuwa mchana tu (Hakuna Giza) na sehemu zingine kuwa Usiku tu (Jua halionekani)
Je hizi sehemu zinazokutana na Hali hiyo wanapanga vipi muda wa Kazi na muda wa (kulala) kupumzika?
Kwa mfano nimeangalia sehemu za Kaskazini mwa Urusi na pia Nchi Kama Finland hakuna Giza kwao kipindi hiki.
Je hizi sehemu zinazokutana na Hali hiyo wanapanga vipi muda wa Kazi na muda wa (kulala) kupumzika?
Kwa mfano nimeangalia sehemu za Kaskazini mwa Urusi na pia Nchi Kama Finland hakuna Giza kwao kipindi hiki.
na
wao inakuaje mgawanyo wa majukumu?

