Najua ni muuzaji ila co mamba na mzur hata kule nilipomtoa mda mwing nilikuwa namsoma tu kuna wahun kadhaa walimfuata aliwakatalia mm nilikuwa pale kumchangewauzaji huangalia fursa kwanza wala usimlaumu mshikaji, kama angekua si muuzaji wala asingeondoka.
Sema jana ulienda wap na lile jamaa !Siamini Kama umeniita kwenye uzi wa kitoto namna hii
Um-change mlevi wa pombe ndani ya usiku mmoja ?Ndio sikutaka kumla nilikuwa namchange nilinunua hisia zke sikumnunulia bia na nilimshaur aache na kesho tukapime
Umezubaa zubaa mwenzio kachangamkaSema jana ulienda wap na lile jamaa !
Siamini Kama umeniita kwenye uzi wa kitoto namna hii
Ucbishe inawezekana wengine wapo pale hawajapenda ni problems tu za maisha na kukata tamaa ukimtuliza ukampa dira anakuelewaUm-change mlevi wa pombe ndani ya usiku mmoja ?
Endelea kujidanganya hivyo hivyo Mkuu.Ucbishe inawezekana wengine wapo pale hawajapenda ni problems tu za maisha na kukata tamaa ukimtuliza ukampa dira anakuelewa
Lina UMEME lile jamaa nilisahau tu kukwambiaUmezubaa zubaa mwenzio kachangamka
Kuna fisi kuna mamba kuna malaya kuna kicheche kuna milupoEndelea kujidanganya hivyo hivyo Mkuu.
Ukute hata mziki hachezi..Ulimtambulishaje kwa rafiki yako?
Lakini itakuwa wewe sio type yake. Pombe hunywi, nyama huli unazurura kutafuta nini viwanjani?
Poa tu. ARVs zipoLina UMEME lile jamaa nilisahau tu kukwambia
Hata kama aisee.sioa dabu hata kidgDemu mwenyewe wa Dar halafu mpiga pombe🤣
Basi sawa.
Ogopa sana KIU ( AROSTO ) ya pombe.Hata kama aisee.sioa dabu hata kidg
Achana nao hao wanao kubeza, huyo rafiki yako naye sio, hata kama hujamtambulisha mtu aliye na rafiki yako huwezi jisevia kama hujatambulishwa sasa huyo sio rafiki achana naye na huko atakuwa kakuponda haswa mpaka kumchukua huyo demu!Ckia ww soma uelewe hapo demu nilishamset pia unapokuwa mlev demu mwenyewe akil anajua unamchota lkn sio akil zko ukiwa hunywi anajua una maanisha kuhusu kula nyama nipo ivyo maana izo nyama tumeenda kuzila sehemu moja uswaz balaa sahan ya plastik tena imechakaa jamaa alikuwa ashajua yule demu wngu maana mda wote upo began
Rafiki ako hana tu adabu....punguza marafikiSema jana ulienda wap na lile jamaa !
SureAchana nao hao wanao kubeza, huyo rafiki yako naye sio, hata kama hujamtambulisha mtu aliye na rafiki yako huwezi jisevia kama hujatambulishwa sasa huyo sio rafiki achana naye na huko atakuwa kakuponda haswa mpaka kumchukua huyo demu!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Sio rafiki mwema kwake, demu ni mgeni kwao lakini huyo mwanaume ni rafiki yake kashindwa kumweshimu hata rafiki yake? Atupe kule!Sure