Labda tuanze kwa kujuzana nini maana ya duara au circle? kikawaida katika duara, umbali kutoka point moja mpaka centre ni sawa katika kila point(every point being equidistant from the center point)!!
Je umbali kutoka ikweta mpaka katikati ya dunia (center of the earth) ni sawa na umbali kutoka kwenye poles (sourth na north pole)??? Jibu ni kwamba havipo sawa kwani umbali kutoka ikweta mpaka katikati ya dunia ni kilomita 21 tofauti na kutoka kwenye poles!!! Mpaka hapa tunaeza ona kwamba dunia sio duara!!!
Lakini tukiangalia publish na tafiti mbali mbali pia tunaeza ona umbo halisi la dunia sio duara wala tufe!! Tukitumia tu uelewa wa kawaida, embu tuangalie uwepo wa mabonde, milima ,mito, maziwa kwenye uso wa dunia, je bado tutashawishika kwamba dunia ni tufe au duara??
Ki uhalisia ni kwamba umbo la dunia sio halisi (irregular shape) au kwa lugha nyingine tunaeza sema ni ni bumpy shape!!
Hii dhana ya kusema dunia ni duara imetoka wapi hasa??
Wanasayansi wamechukulia dunia ni sphere kama model tu (na ifaamike kuna model kama mbili zaidi) ambazo wao wanazitumia katika kufanya mahesabu na tafiti mbali mbali mfano kuchora ramani, kutafuta umbali kutoka point moja mpaka nyingine, na mahesabu mbali mbali yanayohusu kani mvutano(force of gravity) ila ki uhalisia tunaposema dunia ni sphere au circle hizo ni model which present the shape of the earth ambazo zimewekwa kurahisisha tafiti na hesabu (calculations)" na kiuhalisia umbo la dunia sio sphere wala duara bali ni irregular au bumpy shape...
Kama tunavyoweza kuona kwenye picha hiyo ndio shape halisi ya dunia
tuanaweza kuona milima ,mabonde na vitu vingine vilivyopo kwenye uso wa dunia!!!