Grace glory
JF-Expert Member
- Feb 17, 2018
- 343
- 386
Haya tunahoji, kwanini hamtaki mashoga?Jambo likisemwa Sana na kusikika Sana masikioni, linazoeleka na kuanza kuonekana la kawaida, miaka ya nyuma ilikuwa ukisikia mtu Fulani shoga unaogopa na kuona kinyaa.., sasa hivi wapo wengi na hawana wasiwasi.
Kwa Sisi wazazi nadhani tutoe elimu Kwa watoto wetu WA kiume, tuwaambie nini maana ya kuzaliwa mwanaume, na mategemeo yetu kwao kama wanaume ninini. Kama mtoto ana akili ata chakata na kukaa Kwa Mstari, lakini kama akiamua kuwa hivyo believe me kama wazazi ni ngumu kuzuia, maana kuna wanaume wengi wameoa na Wana watoto na bado Wana kashfa ya ushoga.
Elimu wanavyo, na madhara kimwili na kiimani wanajua...tujiulize shida ninini???
Kipato??
Life style??
Utandawazi??
Evolution of nature??
Kuigana??
Mashoga kosa lao ni lipi?
Mbona kila siku mnawasakama? Haya tuambiane ukweli, wala mashoga ni akina nani? Hivi shoga anaweza kuwa shoga bila kufir** ? Kwann msipige kelele kwa hawa wala watu pia? Alafu pia mbona mnafumbia macho kwa wanawake? Kwani hakuna wanawake wanaoliwa love it live it?
Kama hichi kitu kina mazara kwenye jamii, inatakiwa kila mmoja apigwe marufuku na kukemewa, sio eti mliwaji tu ndo anaonekana mbaya eti mlaji ndio mjanja huu ni upuuzi wa mwisho.
Usikute mtoa mada ni mlaji pia.