Meza petroli ili kuni zako zikawake vizuri. Idadi ya mijitu hapa duniani ukiondoa bongoland (yenye watu wasiojulikana) inakaribia billion 7.Wenye Imani zenu na mnaojua vizuri Maandiko Matakatifu tunaomba msaada wenu tafadhali katika hili ili Sisi wenye dhambi 'tukuka ' tuanze kupiga ' jaramba / kujiandaa ' kuwahi Siti zetu tayari kabisa kwa Kufanywa Kuni kutokana na dhambi zetu / makosa yetu hapa Ulimwenguni.
Nawasilisha.
nimeishia hapo kuna watu 2 bilion...
Milioni 7 acha fix,China na India peke yao wanazidi milioni 2Wenye Imani zenu na mnaojua vizuri Maandiko Matakatifu tunaomba msaada wenu tafadhali katika hili ili Sisi wenye dhambi 'tukuka ' tuanze kupiga ' jaramba / kujiandaa ' kuwahi Siti zetu tayari kabisa kwa Kufanywa Kuni kutokana na dhambi zetu / makosa yetu hapa Ulimwenguni.
Nawasilisha.
Walio kufa ni kama billion 100Wenye Imani zenu na mnaojua vizuri Maandiko Matakatifu tunaomba msaada wenu tafadhali katika hili ili Sisi wenye dhambi 'tukuka ' tuanze kupiga ' jaramba / kujiandaa ' kuwahi Siti zetu tayari kabisa kwa Kufanywa Kuni kutokana na dhambi zetu / makosa yetu hapa Ulimwenguni.
Nawasilisha.
una matatizo hata uwezo wako wa kufikiri unamatatizo na stress....bila shaka umeachika na unaishi bila mumeUsijadili sana Kukosea / Kukengeuka Kwangu kwa idadi hiyo ya Watu bali jikite zaidi katika jambo / suala husika. Kama ni Kukosea mbona hata aliyekupigia Bao hadi ukazaliwa alikosea kwani alitaka Mkewe mzalie Mtoto wa Kike lakini ukatokea ' Nguchiro ' Wewe wa Kiume?
Nimekuja mbio mbio kumpa za uso, nashukuru kumbe umeshawahi seat ya kwanza ya makavu live.China pekee INA karibu 2 billion . au dunia IPI unayoongelea maana now duniani idadi ya watu ni zaidi ya billion 7
Sent using Jamii Forums mobile app