FINDTRUEFAITH
Member
- Mar 24, 2011
- 83
- 86
Maswaki mengine mhhh! Ila jwa sababu umeuliza utajibiwa tu.
Ni hivi hapo hapo utakapokuwa ndipo adhabu ya moto itakapokutokea.
Usisahau kwamba ili uishi unahitaji hewa ya Oxygen. Lakini pia ni hewa hiyo hiyo inayosababisha moto uwake.
Kwa hiyo kwa Mungu atakachokifanya ni kuongeza kuusogeza tu moto ambao utarutubishwa ndani ya mtu na oxygen anayoivuta hivyo kuteketea kabisa.
Hapo utaona kwamba hoja si ukubwa wa uwanja bali je unavuta hewa ya ojsijeni inayosababisha moto kuwaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hivi hapo hapo utakapokuwa ndipo adhabu ya moto itakapokutokea.
Usisahau kwamba ili uishi unahitaji hewa ya Oxygen. Lakini pia ni hewa hiyo hiyo inayosababisha moto uwake.
Kwa hiyo kwa Mungu atakachokifanya ni kuongeza kuusogeza tu moto ambao utarutubishwa ndani ya mtu na oxygen anayoivuta hivyo kuteketea kabisa.
Hapo utaona kwamba hoja si ukubwa wa uwanja bali je unavuta hewa ya ojsijeni inayosababisha moto kuwaka.
Sent using Jamii Forums mobile app