hahaha, haki ya nani huyu akienda zanzibar, wanamla tigo, watajua ni punga...manake watu wa huko wanavyoendekeza mtandao wa tigo,.....dah......
huyu mwarabu kachoka aisee hata akijitoa muhanga halali tu, mbona laifu kwake gumu sana ivi...dah....
Old goat, u have made my day!
hahaha, haki ya nani huyu akienda zanzibar, wanamla tigo, watajua ni punga...manake watu wa huko wanavyoendekeza mtandao wa tigo,.....dah......
Mnh! Huyo ni punda wa kweli au sanamu? We Mbuzi Mzee uliwezaje kumvisha jeans bila kuchapwa teke?
Duh! Ila amependeza scaf ya magamba!