Mkuu umejidhalilisha Sana,AMA KWELI SHETANI NI MUONGO SANA
Na bahati mbaya sana anawatumia watu tunaowaamini sana.
Tunawaamini sana Wana sayansi lakini wamejaa ushetani na uongo.
Wanatumiaka kurubuni watu kuwa Binadamu ametokama na Nyani munhu hayupo nk.
Dunia ni mpya mno ni mpya sana
1. Angalia vizazi vi 5 kutoka wewe angalia babu zako walivyoishi kwa ujima.
2. Angalia Miundombinu mipya simu, umeme, ndege , magari nk
3. Angalia sciance na technolojia.
4 Angalia na historia Kabla ya uhuru na Baada ya uhuru.
BIBLIA KITABJ CHENYE TAARIFA ZOTE KINASEMA DUNIA INA MIAKA 6000 TU
KIZAZI CHA ADAM HADI YESU NI MIAKA 4000+2000=6000
Mwenye swali anakaribishwa.
Wanajamvi Salam.
Leo nataka kujua zaid kuhusu mada fikirishi ya umri wa dunia. Kupitia hadithi mbalimbali za historia na vitabu vya dini, zinatuambia Kwamba Dunia ilianza takriban miaka million kadhaa huko nyuma. Pia watu walioishi miaka hiyo ya nyuma sana inasimuliwa na kuaminika kwamba walikua ni watu wenye maumbile makubwa sana kimwili, wenye nguvu sana, wenye akili sana, majasiri, wenye uthubutu, na sifa nyinginezo kedekede.
Swali langu la msingi ni kwamba, kwa huu umri wa Dunia unaosimuliwa na aina ya watu waliokwepo zamani, kwanini Civilization na technological advancement zimechelewa sana? Kwanini maisha ya zamani yalikua magumu sana, (only strongest survived) Kwanini maisha yamekua some how simplified kuanzia karne ya angalau ya 15 hapo?
Does it mean hao watu wa zamani walikua vilaza sana tofauti na historia zinavowapamba? Kama sio, kwanini hawakuwa na hiyo akili na uvumbuzi wa teknolijia ambayo ingepunguza ugumu wa maisha tokea miaka hiyo??
Kwa wale Watu wazima waliozaliwa miaka kati ya 1930 hadi 1970 ambao wako hai hadi leo, wanasema wameishi katika ulimwengu wa zaid ya aina 3 hapahapa duniani. Kwanini wanasema hivyo? Angalia gap la mabadiriko ya dunia kuanzia 2010 hadi sasa, Rudi nyuma Kidogo angalia mabadiriko ya dunia ya 2000 hadi 2010, kisha endelea kurudi nyuma kwa kuangalia dunia ya miaka chini ya 2000. Nadhani hapo utakua umepata picha kidogo ya swali langu. Dunia ya 2000 ni tofauti kabisa na dunia ya 2023.
Hiyo dunia ya zamani na watu wake wenye uwezo mkubwa walishindwa hata kutengeneza simu ili wawasiliane? Computer zimekuja mwishoni mwa karne ya 20 (miaka ya 1940-1950) kama sikosei, Simu pia zilianza miaka ya 1980s, magari na vyombo vingi vya moto vilianza kuanzia angalau karne ya 15 hapo. Unaambiwa watu walikua wanasafiri hata miezi kadhaa wako tu njiani. Sasa hizo akili na uwezo wao mkubwa ulikua wap?
Mwisho, mi naamini hii dunia ni ya Juzijuzi tu hapo. Naombeni mje na hoja za kusema hii dunia ina hiyo miaka mamilioni.
Ni lazima tusifu kuwa sisi ndio viumbe waliobarikiwa zaidi duniani....In what context do I mean....angalia quantum computer still can't beat human brain... Watch out praise and live with it....Yote kwa yote
Kuna gossip na Kuna gospel
Learn to praise
Mungu aliyeiumba Dunia.... Jehovah.Mungu ghani buroo
Kumbe dunia imeumbwa,? Okay! Imeumbwa kwa kutumia material gani?,Mungu aliyeiumba Dunia.... Jehovah.
Nishawambia wamuulize mama yake(Dunia),hawaelewiMungu ghani buroo
Kumbe dunia imeumbwa,? Okay! Imeumbwa kwa kutumia material gani?,
Na kwann iumbwe? Nakwann wanadamu waishi bila ridhaa yao? Au wanyama waishi bila ridhaa yao? Kwann tusipewe mda wa ku experience maisha ya dunuani kabla hatujaumbwa? ,,,,la sivyo jehovah ni katili,kwann anilete huku kwenye dunia yake iliyojaa mateso,ubaya navinginevyo bila ridhaa yangu? Why!!
Kwani mimi sindio nimesema ukweli? Au wewe ulitonywa kuja huku? Yaani ukweli utabaki kuwa ukweli i katuumba bila ridhaa yetu then tukifa anaenda kutuchoma na moto pia ,huoni huo ukatili ni mbaya sana unazidi hadi wa adolph Hitler?Just live with yourself....try to understand yourself.....stop that dualistic mindset.... Emptiness is emptiness and form is form....just face the reality as it is...
You seem ignorant right? Because you act one!! Stop arguing! go seek knowledge.......go and fight your mind....Kwani mimi sindio nimesema ukweli? Au wewe ulitonywa kuja huku? Yaani ukweli utabaki kuwa ukweli i katuumba bila ridhaa yetu then tukifa anaenda kutuchoma na moto pia ,huoni huo ukatili ni mbaya sana unazidi hadi wa adolph Hitler?
Eternal God knowsNo body knows
Whatever path you decide for your own life...theist,a kuanzia kwenye animism polytheism monotheism na taka taka zote...deist....atheist as I am.....Mungu ni neno....Ndio maana unaambiwa anajua kila kitu.....anaijua Leo yako kesho yako na sasa yako.....kwahiyo jitahidi kuchunga ulimi wako utakupoteza.....I am not living in your mind....what you see is just a social convention....wewe una maisha yako yaishi....kumbuka Dunia tambara bovu......ukipotea njia! Bwana Mungu, mind you!!! Namaanisha neno in what sense? Kaa, tafakari atakuokoa....You seem ignorant right? Because you act one!! Stop arguing! go seek knowledge.......go and fight your mind....
Learn to praise little kid....
...yet...angalia quantum computer still can't beat human brain....
Eternal God knows
Mungu ni neno....Ndio maana unaambiwa anajua kila kitu.....anaijua Leo yako kesho yako na sasa yako.....kwahiyo jitahidi kuchunga ulimi wako utakupoteza.....
Understand me brother in simple sense.....we define Mayu through his action....popote panapotokea machafuko Mungu hayupo ask me why....jibu ni simple hakuna neno la Mungu linafundisha kuua mtoto mchanga Kwa hiyo Moja Kwa Moja pale watu wamelikataa neno....Kwahiyo Mungu alikua ANAJUA yatakayotokea Israel vs Hamas
Ailikua anajua wale watoto watakufa kwa njaa kule Sudan
Alikua anajua wale watoto pale hspt ya saratani muhimbili watazaliwa na saratani and will suffer and die with agony
AND HAS NOTHING TO DO ABOUT IT?
Understand me brother in simple sense.....we define Mayu through his action....popote panapotokea machafuko Mungu hayupo ask me why....jibu ni simple hakuna neno la Mungu linafundisha kuua mtoto mchanga Kwa hiyo Moja Kwa Moja pale watu wamelikataa neno....
Language is tricky what most don't understand ni kwamba lugha ilimkuta mwanadamu duniani...
I don't believe in God but word of God and life of Jesus ChristMkuu sielewi unamuamini Mungu yupi na kupitia maneno yake matakatifu yapi?
Lakini kama ni Bibilia au Quran kuna verse kibao zinazo ruhusu watoto kuuliwa