Dunia imesimama na Rais Samia Suluhu Hassan hoja ya Teenage Mothers

Kwa jinsi ulivyoandika inaonekana hawa mabinti wameruhusiwa ili aliyeruhusu apate "mchongo" wa kupiga pesa za WB na sio kwamba anawapenda hao mabinti!
 
Hili ni Tangazo la watoto wa Vijijini na Maskini Wanaoamini kwenye kuwa na watoto wengi. Town huwezi kuona Mtoto wa shule ana mimba
. Akiwa hana mtoto shule kwake ilikuwa ngumu, baada ya kuwa na mtoto atafaulu kweli? Ndio maana wakaweka na Sheria ya Kurudia Mitihani


Mdogo wangu akishika mimba na anasoma tutagawana Majengo ya Serikali. FULLSTOP!
 
Wenzio wanataka pesa toka World Bank. Hawana mipango ya kuumiza kichwa hivyo.

Team Omba Omba hawatakuelewa.
 
Mjini watu wanatoa mimba kirahisi sana tofauti na kijijini.

Mjini mtoto akipata mimba anaweza asijulikane kwa upesi hadi anaitoa.

Kijijini akitema mate tu ya kuashiria mimba kijiji kizima kinajua. Ni aibu pia kuitoa bora azae tu.
 
Jengeni mabweni wanafunzi wote wa kike wakawe bweni, hakikisheni maji yanapatikana majumbani mwa watu, malizeni umaskini. Watoto wengi wanaopata mimba katika umri mdogo ni wa maskini.
Acheni ngonjera nyingi.
 
Upuuzi mtupu,
To hell na maadili yako.
 
Hiyo ni chuo hata kwetu ipo na wapo niliosoma nao na wakazaa huku wakiendelea na masomo. Lete ya shule ya msingi au sekondari ya huko unapopasifia, nikupe mali zangu zote ikiwemo za urithi...
 
Mjini watu wanatoa mimba kirahisi sana tofauti na kijijini.

Mjini mtoto akipata mimba anaweza asijulikane kwa upesi hadi anaitoa.

Kijijini akitema mate tu ya kuashiria mimba kijiji kizima kinajua. Ni aibu pia kuitoa bora azae tu.
Nimecheka sana kwa sauti allo,
 
Kwa hili namuunga mkono SSH, wapewe adhabu kali ikiwemo fine au kazi ngumu ila wasinyimwe haki ya kusoma.

However kma aliempa mimba ni under 18 basi miaka 30 iwe substituted na kifungo cha nje. Itakua win win situation.
Zitto nikupongeze pia kwa hili
 
Hiv unajua muandishi huna akili hata za kuombea maji hiko nyuma kabla ya hayati magufuli walikuwa wanaruhusiwa kusoma au mnapenda pesa watu wana ongoa point za msingi maisha yamekuwa ghari sana mfumuko wa bei uko juuuu ww unaongelea mimba khaaaa kweli NDIO MAAANA JUA KALI ACHA LIWAKE
 
Wewe jamaa bana. Anyway ni Mawazo Yako. Nakuuliza hivi.
Unajua matokeo ya hilo jambo?
Unaujua mfumo wa Dunia wa sasa na Uelekeo wake?

Acha kupenda kushabikia mambo usiyojua kwa undani.
 
Kizazi cha uzinifu kinahalalishwa halafu tunaomba MUNGU atupe Mvua, Umeme, Afya n.k labda kama ni miungu ya zamani hapo sawa
 
Wewe jamaa bana. Anyway ni Mawazo Yako. Nakuuliza hivi.
Unajua matokeo ya hilo jambo?
Unaujua mfumo wa Dunia wa sasa na Uelekeo wake?

Acha kupenda kushabikia mambo usiyojua kwa undani.
Hebu fafanua sasa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…