Dunia imeshahama kutoka Siasa za Mdomoni na kwenda Siasa za Vitendo, Tanzania bado tuko na Siasa za Nyerere!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
86,518
147,342
Dunia ya Leo ni Maneno machache yanasindikiza Vitendo vingi lakini Hapa Tanzania mambo ni tofauti kabisa

Kuna Wanasiasa wao ni Maneno tu hawajawahi kutenda lolote hata kwenye level ya Chama tu mfano Zitto Kabwe, Prof Lipumba hata Mbowe

Ukija serikalini Ndio hatari na Nusu kila siku tunatangaziwa miradi mipya Wakati ile ya zamani imedoda mfano SGR

Angalia Swala la Katiba mpya yaani ilishaandikwa na Mtemi Chenge lakini mchakato unaanza tena Upya

Imani ni Matendo!
 
Politics...

Ni VITENDO vinavyofanywa na UTAWALA WA NCHI ama eneo vinavyohusisha MIDAHALO ya vyama vyenye nguvu(vinavyotaka utawala)......

Siasa bila MANENO haipo.....

Duniani kote wanasiasa na vyama vyao ni watu wa MANENO.....

Mathalani hayati JPM alisema MANENO na yakafuatia kuhamia DODOMA.....

Mh.Rais SSH alisema maneno juu ya KUONGEZA mishahara ya watumishi wa UMMA na akafanya....

Amewaagiza TAKUKURU kushirikiana na WIZARA YA ELIMU kuingiza mitaala ya "KUKURU" mashuleni.....

TUNASUBIRI UTEKELEZAJI WAKE ...

N.B Lipumba alisema ATAANDAMANA na kweli akaandamana na KUPOTEZA SAA YAKE kule Mbagala
 
Dunia ya Leo ni Maneno machache yanasindikiza Vitendo vingi lakini Hapa Tanzania mambo ni tofauti kabisa

Kuna Wanasiasa wao ni Maneno tu hawajawahi kutenda lolote hata kwenye level ya Chama tu mfano Zitto Kabwe, Prof Lipumba hata Mbowe

Ukija serikalini Ndio hatari na Nusu kila siku tunatangaziwa miradi mipya Wakati ile ya zamani imedoda mfano SGR

Angalia Swala la Katiba mpya yaani ilishaandikwa na Mtemi Chenge lakini mchakato unaanza tena Upya

Imani ni Matendo!
RIP John Pombe Magufuli
 
Dunia ya Leo ni Maneno machache yanasindikiza Vitendo vingi lakini Hapa Tanzania mambo ni tofauti kabisa

Kuna Wanasiasa wao ni Maneno tu hawajawahi kutenda lolote hata kwenye level ya Chama tu mfano Zitto Kabwe, Prof Lipumba hata Mbowe

Ukija serikalini Ndio hatari na Nusu kila siku tunatangaziwa miradi mipya Wakati ile ya zamani imedoda mfano SGR

Angalia Swala la Katiba mpya yaani ilishaandikwa na Mtemi Chenge lakini mchakato unaanza tena Upya

Imani ni Matendo!
Mkuu uko nyuma sana na wakati.
Sasa hivi tunaendelea na 4R's, halafu kama hukuwemo ndege ya kwenda India , imekula kwako.
 
Dunia ya Leo ni Maneno machache yanasindikiza Vitendo vingi lakini Hapa Tanzania mambo ni tofauti kabisa

Kuna Wanasiasa wao ni Maneno tu hawajawahi kutenda lolote hata kwenye level ya Chama tu mfano Zitto Kabwe, Prof Lipumba hata Mbowe

Ukija serikalini Ndio hatari na Nusu kila siku tunatangaziwa miradi mipya Wakati ile ya zamani imedoda mfano SGR

Angalia Swala la Katiba mpya yaani ilishaandikwa na Mtemi Chenge lakini mchakato unaanza tena Upya

Imani ni Matendo!
ndani ya JF,
ni kama jitu flan hivi kubwa, refu lina mwili mkubwa besi la kutisha, lina mihela yake ya kutosha,

nje ya JF ni kama sisimizi au piriton
hata kuvaa jezi ya simba tu ana ogopa
 
Dunia ya Leo ni Maneno machache yanasindikiza Vitendo vingi lakini Hapa Tanzania mambo ni tofauti kabisa

Kuna Wanasiasa wao ni Maneno tu hawajawahi kutenda lolote hata kwenye level ya Chama tu mfano Zitto Kabwe, Prof Lipumba hata Mbowe

Ukija serikalini Ndio hatari na Nusu kila siku tunatangaziwa miradi mipya Wakati ile ya zamani imedoda mfano SGR

Angalia Swala la Katiba mpya yaani ilishaandikwa na Mtemi Chenge lakini mchakato unaanza tena Upya

Imani ni Matendo!
'Nyerere ni mwenye heri' hivyo hata afuatae siasa zake amebarikiwa! si unaona CCM inavyo barikiwa?
 
Dunia ya Leo ni Maneno machache yanasindikiza Vitendo vingi lakini Hapa Tanzania mambo ni tofauti kabisa

Kuna Wanasiasa wao ni Maneno tu hawajawahi kutenda lolote hata kwenye level ya Chama tu mfano Zitto Kabwe, Prof Lipumba hata Mbowe

Ukija serikalini Ndio hatari na Nusu kila siku tunatangaziwa miradi mipya Wakati ile ya zamani imedoda mfano SGR

Angalia Swala la Katiba mpya yaani ilishaandikwa na Mtemi Chenge lakini mchakato unaanza tena Upya

Imani ni Matendo!
Alaa!!
Au uko hacked!??

Bado hujasema.
 
Dunia ya Leo ni Maneno machache yanasindikiza Vitendo vingi lakini Hapa Tanzania mambo ni tofauti kabisa

Kuna Wanasiasa wao ni Maneno tu hawajawahi kutenda lolote hata kwenye level ya Chama tu mfano Zitto Kabwe, Prof Lipumba hata Mbowe

Ukija serikalini Ndio hatari na Nusu kila siku tunatangaziwa miradi mipya Wakati ile ya zamani imedoda mfano SGR

Angalia Swala la Katiba mpya yaani ilishaandikwa na Mtemi Chenge lakini mchakato unaanza tena Upya

Imani ni Matendo!
Rais Samia anajaribu kuwafundisha hawaelewi.

Yanashindwa kumpima mtu Kwa facts ila porojo zisizo na msingi.

Mwigulu akiwe Mbeya alisema kwamba Nchi nyingi zinazoendelea Zina siasa za porojo lakini Rais Samia ni mtu wa Vitendo sana hivyo hao wapiga porojo ni kuwapuuza tuu.
 
Dunia ya Leo ni Maneno machache yanasindikiza Vitendo vingi lakini Hapa Tanzania mambo ni tofauti kabisa

Angalia Swala la Katiba mpya yaani ilishaandikwa na Mtemi Chenge lakini mchakato unaanza tena Upya

Imani ni Matendo!
Naunga mkono hoja, Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu? na wana JF pia tuliwashauri, 2017 JF Tubadilike, Tupunguze Kuwa "Barking Dogs, Seldom Bite", Tusiishie Kubweka Tu, Tung'ate!

P
 
Kiongozi wa kesho lazima atakuwa memba mhenga wa JF.. ndie ataweza mengi ya nchi na kuleta Sukari nyingiii sana kulambwa.
 
Back
Top Bottom