johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,144
Tanzania siyo kisiwa hivyo tunahitaji viongozi waliobeba maono ya Dunia ambao wakigonga hodi ubalozi wowote wanafunguliwa mlango
Freeman Mbowe amefikia Wakati wa kustaafu lakini Siasa za Tanzania bado zinauhitaji Sana Uongozi wake
Kuorganize Maandamano Hata ya Watu 10 tu kwa Siasa za Tanzania tangia enzi za Akina Mchungaji Mtikila ni jambo gumu Sana lakini huyu Mwamba kafanikisha tena kwa Amani kabisa hajafa Hata Sisimizi
Mlale Unono 😄
Freeman Mbowe amefikia Wakati wa kustaafu lakini Siasa za Tanzania bado zinauhitaji Sana Uongozi wake
Kuorganize Maandamano Hata ya Watu 10 tu kwa Siasa za Tanzania tangia enzi za Akina Mchungaji Mtikila ni jambo gumu Sana lakini huyu Mwamba kafanikisha tena kwa Amani kabisa hajafa Hata Sisimizi
Mlale Unono 😄