Babe wako... Nikamwambia babe ake mdogo wangu we hujakomaaUmemtolea macho nani sasa jaman kwahiyo alitaka kutongoza
HahahaMbona hapo bado hujawa teja
Huyoooo!Naomba picha jamani
Ndiooo
HahahaSio na mm tena jamaan
Ngoja na mimi nijarib kumfundisha may be ata jitahid now.Hahahahahah huyo hawezi kama kuweza angeshaweza mda sababu yangu
Hahaha
She will, kama anapenda nifurahi na yeye atakuwa ana fuatilia mdogo mdogo. Kama hapendi nikuwa happy hataisoma.Kwako naona ataweza kufatilia jitahidi
Nilikuwa nasoma SEHEMU YA 1..... Mpaka nkafika huko ya 6.. Ndani sijasomaKwahiyo ulisoma sehemu 6
Natafuta rafiki wa kiume sio mpenzinaomba link
JamaniShe will, kama anapenda nifurahi na yeye atakuwa ana fuatilia mdogo mdogo. Kama hapendi nikuwa happy hataisoma.
Siyo muda kwa kuwa mimi nilisoma episode 65 kwa sku mbili, napo nilikuwa mvivu yaan. Na haichukui hata eti masaa.Inachukua muda gani kusoma mabango yote yalee... Kama hiyo mpya nimeona sijui mpaka sehemu ya 6
Utaelewa tuuYaan siwaelewi kabisa mtu na mdogo ake