Eeh kdogo kidogoHahaha
Itabidi nijitahidi tuu
HahahaSasa dada kama sipo si unanilindia shemeji yako unakuwa mkali ukiona nyaku nyaku na kiben10 pia wanataka kuniibia
Vipi tena jamaniYaan nyie jamani kwa nn mnanifanyia hivi
HahahaDada hata mm
KhaaaaNaomba picha jamani
Hahahanimecheka mnooo ujue we ni mwehu michirizi ya damu
HahahahKuna story mpya huko, sijui michirizi ya nini!! Shida yangu ilikuwa wewe apo, nikaacha ujumbe nkaondoka
Inachukua muda gani kusoma mabango yote yalee... Kama hiyo mpya nimeona sijui mpaka sehemu ya 6Eeh kdogo kidogo
Kama hadi mimi now nafuatilia n wewe utaweza.
Nitakuwa nakuja kumtafuta mdogo wangu kipenziSio kukukatisha tamaa dada huo ndio ukweli
Mweeh!Yaan nyie jamani kwa nn mnanifanyia hivi
DuuHahahah
Huku mimi ndio makao hiyo hata shunie haja nitag.
Kwangu ni shda kuipata