Dunia haina huruma

Dunia haina huruma

hi MMU MEMBERS
heshima mbele dharau takoni
jaman nimekuja hapa kueleza yalonisibu mwenzenu kuna mdada tulikutana humu jf tukalainishana kwa PM kila mtu akaingia line tukaanza kudate miez miwili sasa na cha ajabu demu kaja na mimba anadai yangu wakat cjawai kwenda nae kavu hata cku moja kama n peku peku basi uani tu na nakumbuka ruti za uani zilikua nyingi kuliko seblen dem kadata anadai mimba yangu na anakazania tufunge ndoa nikifikiria msada niliompa na anayonifanyia naona dunia tambara bovu wakuu naomben ushauri please!

Mh! We una hatari kweli!! Yaani umeona njia ya vumbi ni salama kupiga mguu peku kuliko mbele?! Au ndo ulikuwa unaogopa kumtandika mimba mengine kila la heri?! Ushapima kale ka ugonjwa ka kileo?! Mimba inawezekana ni yako, Pengine maziwa uliyomimina njia ya vumbi mengine yalitoka yakagusa njia kuu!
 
Heeeee... Hii thread imenifanya nipate misamiat mipya.. Uani na seblen.
 
Mh! We una hatari kweli!! Yaani umeona njia ya vumbi ni salama kupiga mguu peku kuliko mbele?! Au ndo ulikuwa unaogopa kumtandika mimba mengine kila la heri?! Ushapima kale ka ugonjwa ka kileo?! Mimba inawezekana ni yako, Pengine maziwa uliyomimina njia ya vumbi mengine yalitoka yakagusa njia kuu!

mkuu alikuwa anatafuta virusi huyu akili amuna hapa hatuna mtu tushampoteza. ajui ata kati ya uani na sebuleni wapi rahisi kutobolewa na chupa linajieendea tu .
 
hi MMU MEMBERS
heshima mbele dharau takoni
jaman nimekuja hapa kueleza yalonisibu mwenzenu kuna mdada tulikutana humu jf tukalainishana kwa PM kila mtu akaingia line tukaanza kudate miez miwili sasa na cha ajabu demu kaja na mimba anadai yangu wakat cjawai kwenda nae kavu hata cku moja kama n peku peku basi uani tu na nakumbuka ruti za uani zilikua nyingi kuliko seblen dem kadata anadai mimba yangu na anakazania tufunge ndoa nikifikiria msada niliompa na anayonifanyia naona dunia tambara bovu wakuu naomben ushauri please!

Pole sana Mkuu, ushauri wangu nakusihi ukomae tu.
 
[hi MMU MEMBERS
heshima mbele dharau takoni]
Sorry unamaana ya???
 
Hongera bwana, watu wanatafuta watoto kila siku wanatangaza hapa JF na wewe umempata hapahapa bila matangazo, na huyo mtoto akizaliwa inabidi utuambie tukuchagulie jina. Funga ndoa lea mimba kitanda hakizai haramu
 
Yaani inaonyesha ni jinsi gani huna heshima wala adabu si kwa wakubwa wala wadogo, maana hata ulivyoanza tu nimejua kuwa huna adabu, na humu JF kungekuwa tunachapana bakora leo ungejua kama humu ndani wapo watu waliokuzidi umri.
Pia hufai katika jamii wala maandiko, na wala hufai kuwa baba wa familia bora, maana mwanaume aliye kamili kuanzia kwenye kichwa, hawezi kuandika utumbo kama huu. Jipange upya.

Bi dada punguza hasira, Mungu ameweka hawa ili tuwasamehe na mwisho tufike kwake. Wote hawa wawili vimeo tu, hamna wazazi hapo!
 
Nimekushangaa sana, kwa hiyo wewe matumizi ya kondom ni kwa ajili ya mimba tu? Ukienda sebuleni unavaa kondom, ukienda uani kavu, poor! Ndo maana ukipita tunasikia harufu ya.......

Hujui sperms zinaweza swim? Inawezekana kabisa kwa kupita kwako uani kavukavu mbegu zilitapakaa mpaka sebuleni. Nikutaarifu tu kuwa kitaalamu inawezekana kabisa kupata mimba bila ku penetrate as long as mbegu zimetapakaa kutoka huko uani hadi sebuleni. Hivyo kuna chance kuwa mimba yaweza kuwa yako. Nakushauri lea mimba huku ukiendelea kutembelea uani kama ulivyozoea!
Eeebwanaee hapo kuna ukweli lakini ziswim kutoka uwani mpaka sebuleni?
Cc : watu8
 
Last edited by a moderator:
demu kaja na mimba anadai yangu wakat cjawai kwenda nae kavu hata cku moja kama n peku peku basi uani tu na nakumbuka ruti za uani zilikua nyingi kuliko seblen dem kadata anadai mimba yangu

Wapumbafu hawataisha duniani
Ndio sababu hadi leo watu wanaibiwa kwa kanyaboya na mdudu.
Wapumbafu huogopa MIMBA kuliko VVU UKIMWI (HIV-AIDS)
Mimba kwao ni janga;
Ukimwi ni sifa;
Naam sifa ya kuonesha kuwa u Kidume/Kijike.
Kwani nzi kufia kidondani ni ajabu?


mwungwana;
Hongera kwa kuzibua mitaro ya maji machafu bila gloves
Hivi wewe ni mwajiriwa wa DAWASCO au mjasiaramali
Mjasiriamali wa kuzibua na kutapisha vyoo vya uswahilini.
Hakuna haja ya kujali usalama wa maisha yako
Maisha ya nini ilhali unapata MNATO wa tiGO,
tiGO mtandao wa Wajanja.

Ndimi Bazazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom