Dunia haina huruma

Dunia haina huruma

Nimekushangaa sana, kwa hiyo wewe matumizi ya kondom ni kwa ajili ya mimba tu? Ukienda sebuleni unavaa kondom, ukienda uani kavu, poor! Ndo maana ukipita tunasikia harufu ya.......

Hujui sperms zinaweza swim? Inawezekana kabisa kwa kupita kwako uani kavukavu mbegu zilitapakaa mpaka sebuleni. Nikutaarifu tu kuwa kitaalamu inawezekana kabisa kupata mimba bila ku penetrate as long as mbegu zimetapakaa kutoka huko uani hadi sebuleni. Hivyo kuna chance kuwa mimba yaweza kuwa yako. Nakushauri lea mimba huku ukiendelea kutembelea uani kama ulivyozoea!
 
hi MMU MEMBERS
heshima mbele dharau takoni
jaman nimekuja hapa kueleza yalonisibu mwenzenu kuna mdada tulikutana humu jf tukalainishana kwa PM kila mtu akaingia line tukaanza kudate miez miwili sasa na cha ajabu demu kaja na mimba anadai yangu wakat cjawai kwenda nae kavu hata cku moja kama n peku peku basi uani tu na nakumbuka ruti za uani zilikua nyingi kuliko seblen dem kadata anadai mimba yangu na anakazania tufunge ndoa nikifikiria msada niliompa na anayonifanyia naona dunia tambara bovu wakuu naomben ushauri please!

mh!huo mlango wa uani ndugu!kwel dunia kushnei?
 
Sasa sijui tukushaurije!
Mbona hukuja kuomba ushauri wakati wa kulainishana pm? Lea mimba hiyo na endelea kupita uani. Mtoto akishazaliwa tutapima dna. Sawa mwanangu?

tena hicho kibebi boy sijui gelo wakiite "love connect"
 
Sasa jiandae, siku akikuambia na Ukimwi alionao ni wa kwako usipaniki....

kumbe watu wanavyoitana husband na waifu humu ndani huwa wanabanduana kweli Mwe!!!
 
hatak kulea mimba anataka ndoa et nimemuaribia future
Hapo sijaelewa, umemuharibia future au mmeharibiana future? Una uhakika kwa hilo la kwenda uani bomba lako halijaziba kwa kinyesi kweli?

Pili, kwa kula kisamvu cha kopo kavu kavu na mtu ulikutana naye kwa miezi miwili tu tena bila kupima damu kubwa, una uhakika umzima kweli wewe?? Kwa matendo yenu mnatupa hofu ya kumuacha yatima huyo mtoto.
 
hi MMU MEMBERS
heshima mbele dharau takoni
jaman nimekuja hapa kueleza yalonisibu mwenzenu kuna mdada tulikutana humu jf tukalainishana kwa PM kila mtu akaingia line tukaanza kudate miez miwili sasa na cha ajabu demu kaja na mimba anadai yangu wakat cjawai kwenda nae kavu hata cku moja kama n peku peku basi uani tu na nakumbuka ruti za uani zilikua nyingi kuliko seblen dem kadata anadai mimba yangu na anakazania tufunge ndoa nikifikiria msada niliompa na anayonifanyia naona dunia tambara bovu wakuu naomben ushauri please!

Kumtigo mwenzako kwako unahesabu ni msaada ulimpa mwungwana?
 
Last edited by a moderator:
Kumtigo mwenzako kwako unahesabu ni msaada ulimpa mwungwana?

Msaada gani wakati ye mwenyewe kasema heshima mbele zarau takoni, kwa maneno yake kutembelea uani ilikuwa dharau kwa mtu wa watu. Harafu jamaa anakuja hapa na chorus ya dini, dunia haina huruma huku anakula kisamvu. Hovyo kabisa!
 
Last edited by a moderator:
kwanza mkuu hebu twende taratibu kidogo naomba unyooshe kiswahili hapa, unaposema uani maana yake ni tundu lile jingine la mkiani ama?
kusoma hujui hata picha huwezi kutafakari???
 
Wewe si mwungwana basi fanya uungwana wako
 
Last edited by a moderator:
hi MMU MEMBERS
heshima mbele dharau takoni
jaman nimekuja hapa kueleza yalonisibu mwenzenu kuna mdada tulikutana humu jf tukalainishana kwa PM kila mtu akaingia line tukaanza kudate miez miwili sasa na cha ajabu demu kaja na mimba anadai yangu wakat cjawai kwenda nae kavu hata cku moja kama n peku peku basi uani tu na nakumbuka ruti za uani zilikua nyingi kuliko seblen dem kadata anadai mimba yangu na anakazania tufunge ndoa nikifikiria msada niliompa na anayonifanyia naona dunia tambara bovu wakuu naomben ushauri please!

Yaani inaonyesha ni jinsi gani huna heshima wala adabu si kwa wakubwa wala wadogo, maana hata ulivyoanza tu nimejua kuwa huna adabu, na humu JF kungekuwa tunachapana bakora leo ungejua kama humu ndani wapo watu waliokuzidi umri.
Pia hufai katika jamii wala maandiko, na wala hufai kuwa baba wa familia bora, maana mwanaume aliye kamili kuanzia kwenye kichwa, hawezi kuandika utumbo kama huu. Jipange upya.
 
mwungwana mbona umeshindwa kunijibu swali langu?
 
Last edited by a moderator:
shem nawe maswali kama polisi, watu washapeana mautamu na hayo ndio matokeo. asijitetee wala nini hapa

Hahaha...
Shem tulia basi kuna jambo nataka kuelewa kutoka kwake...
 
Dah yani miezi miwili hadi unatigoka? Inawezekana mimi peke yangu ndo sijawah pita huko uwani!
 
imekula kwako hiyo.kama umebambikiziwa halali yako.mla kisamvu cha kopo wee.jf uwe makini bwana,si kwa wanawake na si kwa wanaume.lea mimba subiri matokeo
 
hi MMU MEMBERS
heshima mbele dharau takoni
jaman nimekuja hapa kueleza yalonisibu mwenzenu kuna mdada tulikutana humu jf tukalainishana kwa PM kila mtu akaingia line tukaanza kudate miez miwili sasa na cha ajabu demu kaja na mimba anadai yangu wakat cjawai kwenda nae kavu hata cku moja kama n peku peku basi uani tu na nakumbuka ruti za uani zilikua nyingi kuliko seblen dem kadata anadai mimba yangu na anakazania tufunge ndoa nikifikiria msada niliompa na anayonifanyia naona dunia tambara bovu wakuu naomben ushauri please!

ushauri lea mimba mtoto akizaliwa hai kapime DNA kuthibitisha. wakati unapiga peku uani labda ulinogewa ukamalizia sebuleni peku. wenzako uwani wanavaa viatu mpaka sebulen. we mtu wa ajabu sana kwenye tope unavua viatu sehemu safi unavaa viatu theory ya wapi hiyo? kaka ulijikinga kumpa bint ujauzito kaupata nenda ukapime ukimwi aisee yawezekana umeupata pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom