Jeremiah Stephin
Senior Member
- Feb 6, 2014
- 123
- 137
1. Maisha ya kwenye Ndoto ukiwa umesinzia si halisi,ila utagundua si halisi pale utakapo zinduka kutoka usingizini.Ndoto ni Illusional..unadanganywa.
2. Video games kama zile za FIFA,GTA n.k wahusika wa kwenye zile games mfano unacheza PS5 kuna muda wachezaji wanalalamika,wanaumia,wanahuzunika na Kushangilia ila hawajui kwamba kila wanachokifanya ni Program,wao ni program ya computer inayo chezeshwa na binadamu.
3. Kwa Kuzingatia 1 na 2 hapo juu nashawishika kwamba hata sisi binadamu na viumbe wengine kwenye huu ulimwengu Tunaishi maisha yasiyo na uhalisia..tunaishi maisha danganyifu kama wale wachezaji wa kwenye PS au yale maisha ya ndoto.
4. Kila tunachokiona sio halisi(illusional) na maisha yote ni kama simulation za games..Sisi tupo kwenye Program inayoendeshwa na aliyeiunda.Maisha yetu ni program ndio maana hayaeleweki.
5. Tunazaliwa Then Tunakufa bila kujua hata lengo la kuwepo duniani ni lipi(achana na falsafa za dini).Magonjwa,Vita na kila uharibifu unaofanyika ni sehemu ya simulation za mcheza game..
6. Mwisho wa haya maisha ni pale anayetuchezesha Game Akiacha kucheza au akashindwa kuendesha program yake vizuri. #Ongeza na wewe
7.
8.
2. Video games kama zile za FIFA,GTA n.k wahusika wa kwenye zile games mfano unacheza PS5 kuna muda wachezaji wanalalamika,wanaumia,wanahuzunika na Kushangilia ila hawajui kwamba kila wanachokifanya ni Program,wao ni program ya computer inayo chezeshwa na binadamu.
3. Kwa Kuzingatia 1 na 2 hapo juu nashawishika kwamba hata sisi binadamu na viumbe wengine kwenye huu ulimwengu Tunaishi maisha yasiyo na uhalisia..tunaishi maisha danganyifu kama wale wachezaji wa kwenye PS au yale maisha ya ndoto.
4. Kila tunachokiona sio halisi(illusional) na maisha yote ni kama simulation za games..Sisi tupo kwenye Program inayoendeshwa na aliyeiunda.Maisha yetu ni program ndio maana hayaeleweki.
5. Tunazaliwa Then Tunakufa bila kujua hata lengo la kuwepo duniani ni lipi(achana na falsafa za dini).Magonjwa,Vita na kila uharibifu unaofanyika ni sehemu ya simulation za mcheza game..
6. Mwisho wa haya maisha ni pale anayetuchezesha Game Akiacha kucheza au akashindwa kuendesha program yake vizuri. #Ongeza na wewe
7.
8.