econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,960
- 22,046
Hivi Aboubakary sadick Bado yuko radio one?
Ndio
Hivi Aboubakary sadick Bado yuko radio one?
Ndiyo aiseeHivi Aboubakary sadick Bado yuko radio one?
Kutokana na kizazi chako una haki ya kusema hivyo....sisi wahenga kwenye FNL tulikuwa tunaluka na yule mganda aisee haikuwa show ya kumiss enzi hizo.FNL haijawahi kuwa kama ya Sam...
View attachment 2771149
Je we unahisi atakua anaelekea Media gani... Kwa ubashiri maana hizi media zinanyanganyana sana watangazajiHakika hawa jamaa ni talented kwa upande wa utangaji, kuna presenters wana uwezo mkubwa ila hawapati makubwa kulingana na uwezo wao.
Huyu jamaa nilitamani sana nimuone kwenye media kubwa zaidi ya EA RADIO/TV, naona linaenda kutimia.
Generation ya watangazaji wapya kidogo imepwaya... hawazalishwi watangazaji wenye upekeeDakika 10 za maangamizi inazidi kupoteza ule mvuto
Kipindi wapo dullah, fifi na Jr ilikua Moto Sana
Msanii anapewa vibe la kutosha kipindi kilikua lit
Fifi na Jr wakaaga
Now dullah ndio huyoooo....
Star TV haichukuwagi watu wa Media nyingine... Star TV mara nyingi yenyewe ndio inazalisha watangazaji na kisha wanaondoka kwenda media nyingine...Keshatengeneza jina kubwa, sio aende kwenye media za mitaa ya jiji la dar, viredio na vitivii vya uchochoroni. Anatakiwa aibukie kwenye media kubwa yenye wasikilizaji/watazamaji wengi nchini. Aka lounch kipindi kingine kikali zaidi ya planet bongo. Media kama ITV, Clouds, channel ten na star tv zinamfaa na sio wasafi na emf hizo ni media ndogo sana na hazina watazamaji/wasikilizaji wengi nchi nzima
Yeah ni mstaarabu sana... Hawa ndio vijana waliopata umaarufu wakiwa bado wadogo, maana kaanza utangaza bado kijana kabisa mdogo, hivyo umaarufu hauwezi kuwaendeshaNampendaga huyu kaka,ana mke wake mzuri mzuri anajiheshimu
Kila la heri huko anapokwenda
Itakuwa umeanza kuiangalia baadae sana, hakuna FNL kama kipindi yupo Sebo jamaa aliiendesha vizuri sanaFNL haijawahi kuwa kama ya Sam...
View attachment 2771149
Lakini Dullah Planet hapa kati alirudi FNL, na kipindi kilichangamka, wakamuongeza jamaa mmoja akawa anatengeneza Cocktail anaitwa Ibiza Boy kipindi kikaanza kuwa maarifu lakini kwa bahati mbaya Ibiza Boy akafariki kwa ajali, lakini Bado Dullah Planet akaendelea nacho akiwa na jamaa mmoja hivi mfupi anaitwa Bilisepenga mpaka Dullah anaaga East Africa kipindi kilikuwa kinaelewekaMkali huyu alibamba zaidi kwenye vipindi vya radio hiyo fnl nazani ilikufa baada ya sam misago kuondoka mpaka leo hawakuweza kuziba gap la sam misago
Yeah... Wanatakiwa wamuamini aanze kuendesha kipindi... Maana jamaa kwanza mastaa anawajua vizuri mpaka mambo yao ya udaku hivyo anajua kuuliza swali kulingana na tukio... Yuko vizuri sana SepewiseNi wakati sasa wa Bill Sepwise kukimbiza kipindi cha FNL
FNL ilibamba kipindi yupo sam huyo chawa billsepenga ndio alikuja kuharibu anamaswali ya kiudaku udaku muda wote kalewaLakini Dullah Planet hapa kati alirudi FNL, na kipindi kilichangamka, wakamuongeza jamaa mmoja akawa anatengeneza Cocktail anaitwa Ibiza Boy kipindi kikaanza kuwa maarifu lakini kwa bahati mbaya Ibiza Boy akafariki kwa ajali, lakini Bado Dullah Planet akaendelea nacho akiwa na jamaa mmoja hivi mfupi anaitwa Bilisepenga mpaka Dullah anaaga East Africa kipindi kilikuwa kinaeleweka