luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Wadau habari za jioni naulizia eti hapa DSM kuna duka gani wanauza miwani za macho yenye upungufu wa uwezo wa kuona,..maana kuna hospitali moja nilipimwa macho nikaambiwa niko na shida ila ss miwani zao bei kali sanaaa