Wapi hiyo? ili tukipita kula tuwe makini lakini inaonesha kama ni shule tu, jamaa alikuwa hajui kuandika 10,200/=
Au alikuona uko chakari?
Swadakita!!.... kwa pembeni yake sasa!!
Uliponea chupuchupu. Ungechinjiwa baharini. Yewooooomiiiiiiiiii, ngastuka mlya!
Swadakita!!.... kwa pembeni yake sasa!!
Hii bili inakwenda kwa fisadi mmoja........
Mkuu yani hizi ni zangu unless liwe kosa ambalo linaeleweka huwa wakinichomekea silipi chochote nasepa zangu........Tena hawa madogo wa jikoni ndo wanaongoza kwa kuchomeka akishaona umepiga 2/3 pasipokujua consumption yako wao wanachomeka billWanachagua na wa kuwapelekea bili za hivi,kwangu ukiniletea bili ya hivi yaani tayari nakuwa nishapata sababu ya kukudhulumu hata ile halali yako niliyotumia.
kula uliwe!