Duh... Netanyahu kayakanyaga aisee!

Huu ndio.ukweli
 
Hawa wanaosherekea Sasa hivi ndio walikuwa wanapangwa wa wapindue nchi na netanyau kichaa
******
 

Attachments

  • IMG_20250624_161633_740.jpg
    179.8 KB · Views: 7
Muirani ndio anataka muende miaka 3 on battle tuone matokeo huwezi kusinamisha vita mapema hivi daaah
Kama Iran anataka vita ya miaka mitatu si aanzishe upya?

Israel ilitaka kulipua vinu vya nyuklia na imemaliza kazi. Ni kazi ya Iran sasa kuifuta Israel.
Ngonjera nyingi ila vitendo zero.
 
Kama Iran anataka vita ya miaka mitatu si aanzishe upya?

Israel ilitaka kulipua vinu vya nyuklia na imemaliza kazi. Ni kazi ya Iran sasa kuifuta Israel.
Ngonjera nyingi ila vitendo zero.
Kwahio kuanzia Leo tusijekusikia Iran ana nyuklia Tena kwakua kazi mumeimaliza sawa,? Tukisikia mna anzisha maneno maneno maana yake mnatafuta kingine Iran hana nyuklia na program imefungwa rasmi.
 
Kama Iran anataka vita ya miaka mitatu si aanzishe upya?

Israel ilitaka kulipua vinu vya nyuklia na imemaliza kazi. Ni kazi ya Iran sasa kuifuta Israel.
Ngonjera nyingi ila vitendo zero.
Regime change vip au ngonjera nyingi vitendo zero
 
Iran kashinda vita , Israel na USA wameomba amani baada ya kuona mziki wa Iran ni mzito kuliko walivyotegemea, ingekua Israel kashinda hii vita angeendelea kuishambulia Iran kama anavyofanya Gaza hadi leo bado anaua watoto, ila huo ujinga umemtokea puani.

Kuhusiana na kwenda kuharibu mpango wa Nuclear wamefeli vilevile wamepiga vinu lakini hamna mafanikio yoyote hamna leakage yoyote ya Uranium wala mionzi yoyote iliyovuja, ingekua kweli wamefanikiwa kuharibu leo hii ungeshasikia watu wamekufa huko Iran kutokana ma athari ya Nuclear iliyoshambuliwa, ila hali ni shwari wananchi wa Qom wanaoishi karibu na Fordow wako salama wanaendelea na mishe zao na wako karibu na kinu cha Nuclear kilichopigwa, maana yake shambulio limefeli
 
Sasa unajua lengo la Israel lifetime?
Yes tunajua lengo la Israel lilikuwa kuichapa Iran. Lakini cha kushangaza Israel ndo ilianza kuchapwa mpaka Marekani akaja kusaidia ili kuiepusha na kipigo.
 
Iran sio Palestina tuliwaambia nyie hamkusikia, Kilichompata Netanyau anajutia ujinga wake, hana hata lengo moja alilofanikisha, Ila Iran amekamilisha malengo yote, ndio maana Trump anataka hii vita isimame maana Israeli inaenda kuangamizwa na Iran.
💯
 
Afu kuna kenge wanasema Iran ndio kaomba vita kusimama hahaha mimi na uhakika Iran angetaka yeye kusimamisha vita US na Israel wangekataa kabisa mpaa wabadilishe regime kama wanavyo dai 🤣
 
Perfect.. umeandika point tupu mkuu 👍
 
Unaweza kulenga kitu lakini ukakosa shabaha ya kufikia malengo, mwisho wa siku ukaamua kuachana na mission yako ambayo unaona umeshindwa kuendelea nayo kutokana na cost fulani.

Hivyo hivyo kwa Israel ilitaka kuharibu, lakini Iran walilifahamu hilo mapema kabla ya shambulizi na kuamua kuhamisha kila kitu. Kumbuka kabla ya shambulizi Israel ilikuwa imesha ahidi mapema kuwa utashambulia mifumo ya nyuklia ya Iran. Hivyo Iran sio wapumbavu wa kusubiri waje washambuliwe vinu vyao walivyovitengeneza muda mrefu na kwa gharama kubwa. Hivi mtu akikwambia kwamba mimi napanga kuja kuiba tv yako nyumbani kwako, wewe utakosa njia ya kuepusha mapema wizi huo kwa kutafuta sehemu salama ambayo mwizi akifika hawezi kuiona?

Una uhakika gani kama kweli walifanikiwa kushambuliwa na wakati wataalam wanaoshughulika na mambo ya nyuklia wameona hakuna madhara yoyote yaliofanyika katika maeneo yalioshambuliwa hivyo hakuna hatari yoyote inayoweza kusababishwa na shambulizi lile. Kumbuka sehemu yenye mionzi ya nyuklia ikishambuliwa lazima athari kubwa itokee kutokana na sumu itayosambaa kwa upepo. Ila kwa Iran hakuna madhara yoyote kwa watu wanaozunguka eneo la Nyuklia, hii inamaanisha kuwa wakati wa shambulizi hakuna kitu kilichokuwa ndani ya kiwanda cha nyuklia.

Sema Israel iliona kile ilicholenga kimeshindikana na kwa upande mungine yeye ndo anaechezea kichapo zaidi ya kile wanachopata Iran.
 
Yes tunajua lengo la Israel lilikuwa kuichapa Iran. Lakini cha kushangaza Israel ndo ilianza kuchapwa mpaka Marekani akaja kusaidia ili kuiepusha na kipigo.
Kwahiyo vinu vya nyuklia bado vipo
 
Afu kuna kenge wanasema Iran ndio kaomba vita kusimama hahaha mimi na uhakika Iran angetaka yeye kusimamisha vita US na Israel wangekataa kabisa mpaa wabadilishe regime kama wanavyo dai 🤣
Wanajifariji tu mkuu, lakini mioyoni wanakiri kuwa waligaragazwa vibaya sana na Iran. Hii vita imempa heshima na ushindi mkubwa Iran kiasi ya kwamba hata alipozichapa kambi za Marekani huko kwa waarab wote walikaa kimya, maana waliogopa kufungua mdomo wangebondwa wao, Israel pamoja na Mmarekani wao.
 
🌟❗️Israeli security expert Yossi Melman:

▪️An Iranian missile destroyed 7 buildings in one location

▪️Iranian missiles have the ability to destroy underground concrete structures

▪️i24 News Network: Israeli Home Front Command research has shown that Iranian missiles are also capable of targeting underground concrete rooms and buildings
 
Netanyahu kweli amshukuru Trump kamukoa na Trump alitumia akili kuto kujibu kipigo cha Iran.

Mtu mwenye akili atajiuliza kwanini USA aliwaondoa askari zake kama si kumuogopa Iran. Mtu mwenye akili pia atasema Iran kapiga base na alijua haina askari ni sababu ya kumdhalalisha USA, Iran imetoa message sisi tumepiga base yenu hio iwe na askari au hakuna ni kama wamepiga ndani ya USA. Watu lazima wafahamu base ya Al Ouded ni katika base kubwa ya USA iliopo nje ya USA.

Kuhusu Israel katoka kapa hata CNN wanasema Nuclear facilities za Iran zote hazikudhurika sana na hasa ile Fowdar kwa hio Israel hakugain sana kabahatika kuwauwa viongozi wa kijeshi kwa sababu miaka 20 alijiandaa kuipiga Iran kwa kuingiza drones na maboom Iran kwa kutumia nchi za Europe na Wairan wenye asili ya kiyahudi na wapinzani lakini katoka kapa. Hakuweza pindua, hakuweza kuzidestroyed Missiles za Iran. THAAD, IRON DOME, HEGS defense system zote zimefailed.

Missiles za Iran zime proved ni one of the best Missiles 👌
 
Kama Iran anataka vita ya miaka mitatu si aanzishe upya?

Israel ilitaka kulipua vinu vya nyuklia na imemaliza kazi. Ni kazi ya Iran sasa kuifuta Israel.
Ngonjera nyingi ila vitendo zero.
Hivyo Iran hana Nuclear tenaaa????
 
Nakubaliana na wewe kwa 100% mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…