Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,411
- 3,203
Wakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.
Kwa kazi zangu nakutana na watu wwngi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili. Ofcourse nlivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.
Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.
Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
Tenaa usikutee anachukuaa mshahara nzito mkuu😄😄umesema wewe ni mfanyakazi wa serikalini.?
Na mama Samia anakulipa mishahara kama kawaida?
Kwa huu mwandiko, futa hapo ulipoandika ni mkuu wa kitengoWakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.
Kwa kazi zangu nakutana na watu wwngi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili. Ofcourse nlivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.
Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.
Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
JInga kabisa hili domo zege, libwabwa maybeKakue kwanza alafu ndo umchukue huyo binti
Waliosoma Cuba ndo wataluelewa.🤣Serikalini
Business kadi
Au yupo kwenye boda na wanapita kwenye mteremko mkaliUmeandika huku unapanda kilima au
Na wamekoswa koswa na fuso kwenye huo mteremkoAu yupo kwenye boda na wanapita kwenye mteremko mkali
uko brutal sanaJInga kabisa hili domo zege, libwabwa maybe