Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Mnyakyusa kapanda ndege, mweeh!
naloli naloliiii, Yesu ajobile!
Kwani wote wanaokaa mbeya ni wanyakyusa?
Mnyakyusa kapanda ndege, mweeh!
naloli naloliiii, Yesu ajobile!
Kwenda zako, wacha kunifuatilia fanya yako
mhhhhhh jerry mbogo kama chui
Kwani wote wanaokaa mbeya ni wanyakyusa?
Sijui. Ila washamba wa ndege ni wanyakyusa teh teh teh.
unajua hata wakisindikizana stendi wanaanza kuagana hadi basi linafika mbezi? Umponileee na babu, umponile nyau, uyaponile mahindiiiii na mchele! Mwenzio mtoa mada kilichomsikitisha kwa kupanda ndege ni kukosa kupewa salamu huku ndege inapaa kwi kwi kwi!!!
Aniambia nawanga as if kaniona, what a shame kunifuatia eti why nacomment usiku haaa
Dah usinivunje mbavu na mda huu mie njaa yaniuma hahahahahaha we binti wewe hahahaha
Kaka na wewe kwetu kule ndege zitaenda lini kuwachukua ndugu tuliowaacha kijijini? Au ndio itabidi waende wakapandie Mbeya.Aniambia nawanga as if kaniona, what a shame kunifuatia eti why nacomment usiku haaa
Huko Santilia alikotoka ni Wandali kama sijakosea. Unaweza ingilia pale Mbalizi kulia au njia ya kuingia gereza la Songwe kisha unaenda ndani milimani!Mnyakyusa kapanda ndege, mweeh!
naloli naloliiii, Yesu ajobile!
Watu wengine huwa wanadhani wao wakilala basi na watu wengine kote duniani watakua wamelala! Mfano Mwambie aende pale sokoni kariakoo mida ya saa 10 alfajiri na apite bar maarufu za jirani. Atakuta meza zimejaa watu wakigonga 'vyombo'. Nilipouliza kumbe ni waleta mizigo,madereva,wabeba mizigo na baadhi ya wafanyabiashara ambao shughuri zao hufanya usiku. Wakimaliza wanajiburudisha kisha wanaenda nyumbani kupumzika!Aniambia nawanga as if kaniona, what a shame kunifuatia eti why nacomment usiku haaa
hehe kapanda ndege saa 3 asubuhi hadi saa 7 usiku bado ana kimuhemuhe?
Huko Santilia alikotoka ni Wandali kama sijakosea. Unaweza ingilia pale Mbalizi kulia au njia ya kuingia gereza la Songwe kisha unaenda ndani milimani!
Hongera,ila samahani NIA ni Uwanja gani mkuu?
Nauli kiasi gani from Mby to Dsm mkuu!