BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,010
Hongera,ila samahani NIA ni Uwanja gani mkuu?
Wa malyafyale
Hongera,ila samahani NIA ni Uwanja gani mkuu?
Si bora hata yeye mie nahisi siku hiyo sitalala kwa furaha tu......Lol
Hakuna aliezaliwa na Ndege, kwa upande wangu sijawahi kupanda kabisa, hata nikienda JNIA sizioni maana pale juu wametuzuia kupanda eti bush alizuia.
Mzuri wewe mimi sikumuelewa Dar kwenyewe sijawahi kufika,naishi huku Kigoma Bangwe ila nilivyoona post ya Rich Pol ndiyo nikajua alimaanisha nini. Nami sijawahi kupanda ndege ujue.Alipoandika Dar kwani haukuelewa? Duniani kwenye mengi hata mitandaoni kucheki flight stats etc unaweka Dar... No ya Nyerere wala nini. Umemwelewa unataka kumsahihisha wakati hata kiduniani wengi hawajui jina hilo lipo.
Ndio nani mkuu?Wa malyafyale
Hata wiki mbili wewe si umezoea kwa sisi watoto wa wakulima hata miezi una imagine dk 45 za safari wakati mwanzo kwa treni wiki mbili chezea Ndege Hongera kwako mtoto wa Tanganyika school.
Aniambia nawanga as if kaniona, what a shame kunifuatia eti why nacomment usiku haaa
may be alikutania usipaniki
Haya, vile umesema wewe no P! But am not so much doing jokes with him! Mzima wewe
am cool just missing u ma friend
Ulivyoandika "kiroba" tu ndio nikashusha pumzi na kujua kumbe upo kwenye llistya waliopata janga la taifa.
Pole sana, serikali fungia viroba tafadhali taifa linapotea kwa kupunguza uwezo wa kufikiri.
Nipo tu dah kabaridiii, karibu beer tumalizie jioni hii
Nikupe offa?
Kuanzia 32,000 pamoja na kodi ya shs 13,000 Tu unapaa mwanawane maana wa Ichenjezya mmezoea "yepa mwidala"
Kuanzia 32,000 pamoja na kodi ya shs 13,000 Tu unapaa mwanawane maana wa Ichenjezya mmezoea "yepa mwidala"