Duh! Fastjet kiboko dk 45 kumbwani

Duh! Fastjet kiboko dk 45 kumbwani

hahaha, kwani mara ya mwisho kukwea pipa ilikuwaje?
siku hizi kama unatoka mbeya na jogoo lako umelipakata, ukitaka supu wanakuonyesha jikoni unapika kabisa. ila ubebe kisu cha kuchinjia manake wana vya plastic tu.

cc Jerrymsigwa
Naomba kuuliza jmn, hvi kwenye ndege naruhusiwa kutembea tembea hv au kusimama ikiwa inaenda


Just like the old days
 
Last edited by a moderator:
hahaha, kwani mara ya mwisho kukwea pipa ilikuwaje?
siku hizi kama unatoka mbeya na jogoo lako umelipakata, ukitaka supu wanakuonyesha jikoni unapika kabisa. ila ubebe kisu cha kuchinjia manake wana vya plastic tu.

cc Jerrymsigwa
Ukinambia kukwea pipa mimi nawaza vingine kabisaa.

Duuh hayo yote yanafanyika ndani ya dk 45? 🙂 😀
 
hehehe, una mawazo mduara sana mkuu.
yanawezekana. wana presha kuka😛hoto:
ila usije na jogoo lenye umri wa kuanza shule
Ukinambia kukwea pipa mimi nawaza vingine kabisaa.

Duuh hayo yote yanafanyika ndani ya dk 45? 🙂 😀
 
hahaha, kwani mara ya mwisho kukwea pipa ilikuwaje?
siku hizi kama unatoka mbeya na jogoo lako umelipakata, ukitaka supu wanakuonyesha jikoni unapika kabisa. ila ubebe kisu cha kuchinjia manake wana vya plastic tu.

cc Jerrymsigwa

hakunaga shida King'asti na fastjet pouwa hata ukiamua kubeba maparachichi na mafufu yanafika salama kabisa wakati zaman ilikuwa mtepeto
 
Last edited by a moderator:
hahahah hahaha leo nimecheka jamani.

hivi we dada unaishi wapi?
napenda sana comments zako na yule. miss chagga wa kishimundu moshi
ha ha haha karibu kishumundu uje ule ndizi mkuu...naona mleta mada anasifia ndege mimi naogopa inaweza potea huko juu amna trafic light wala alama mimi bora nipande basi nione hilooo hapa wami hilooo hapa mombo nile mbuzi choma nione hilooo mara same ndo naenjoy.... ila nitapanda siku moja hilo likitu
 
kwa sababu natokea 'intilia' kidogo (santilia) ilinichukua kama siku mbili kupata booking safari ya ndege. nikitokea uwanja wa songwe mbalizi mbeya safari yangu ya angani ilinichukua takriban dk 45 tu ukiachia rabsha za hapa na pale japo ni gharama lakin uwazi kuchimba dawa wala kula njiani labda uhuru tu wa kuwapungia mikono wasindikizaji na kutembea ovyo ndani hakika nineinjoi baada kufika NIA dar nilijiona mwepesi na tafakuri nyingi kichwani kwamba ni kweli nimefika au naota, nimezoea tren ya tazara zaidi siku 2 kusafiri njian its so amazing lol ilinichukua karibu masaa 8 kuwafakia wenyeji wangu nao walishangaa wala hawakuamin kama nimekuja na ndege kumbe niliminya sehemu nagonga viloba ili akili ikae sawia nimeamini tafuta ela uitmie na maisha mazuri yakuzoee

Hawa jamaa nauli hufanya bei gani hadi mbeya?
 
Nimeipenda hiyo sentensi "nimeamini tafuta ela uitumie na maisha mazuri yakuzoee"!
 
Sijui. Ila washamba wa ndege ni wanyakyusa teh teh teh.

unajua hata wakisindikizana stendi wanaanza kuagana hadi basi linafika mbezi? Umponileee na babu, umponile nyau, uyaponile mahindiiiii na mchele! Mwenzio mtoa mada kilichomsikitisha kwa kupanda ndege ni kukosa kupewa salamu huku ndege inapaa kwi kwi kwi!!!

ha ha ha mecheka hadi basi!!
 
Naomba kuuliza jmn, hvi kwenye ndege naruhusiwa kutembea tembea hv au kusimama ikiwa inaenda


Just like the old days

ha ha ha ! Mi niliomba kukaa dirishani ili nichungulie nje!!!
 
Back
Top Bottom