Naomba kuuliza jmn, hvi kwenye ndege naruhusiwa kutembea tembea hv au kusimama ikiwa inaenda
Just like the old days
Kwani viroba ni sumu? Mbona serekali ndo inachukua kodi!!
Ukinambia kukwea pipa mimi nawaza vingine kabisaa.hahaha, kwani mara ya mwisho kukwea pipa ilikuwaje?
siku hizi kama unatoka mbeya na jogoo lako umelipakata, ukitaka supu wanakuonyesha jikoni unapika kabisa. ila ubebe kisu cha kuchinjia manake wana vya plastic tu.
cc Jerrymsigwa
Ukinambia kukwea pipa mimi nawaza vingine kabisaa.
Duuh hayo yote yanafanyika ndani ya dk 45? 🙂 😀
hahaha, kwani mara ya mwisho kukwea pipa ilikuwaje?
siku hizi kama unatoka mbeya na jogoo lako umelipakata, ukitaka supu wanakuonyesha jikoni unapika kabisa. ila ubebe kisu cha kuchinjia manake wana vya plastic tu.
cc Jerrymsigwa
ha ha haha karibu kishumundu uje ule ndizi mkuu...naona mleta mada anasifia ndege mimi naogopa inaweza potea huko juu amna trafic light wala alama mimi bora nipande basi nione hilooo hapa wami hilooo hapa mombo nile mbuzi choma nione hilooo mara same ndo naenjoy.... ila nitapanda siku moja hilo likituhahahah hahaha leo nimecheka jamani.
hivi we dada unaishi wapi?
napenda sana comments zako na yule. miss chagga wa kishimundu moshi
kwa sababu natokea 'intilia' kidogo (santilia) ilinichukua kama siku mbili kupata booking safari ya ndege. nikitokea uwanja wa songwe mbalizi mbeya safari yangu ya angani ilinichukua takriban dk 45 tu ukiachia rabsha za hapa na pale japo ni gharama lakin uwazi kuchimba dawa wala kula njiani labda uhuru tu wa kuwapungia mikono wasindikizaji na kutembea ovyo ndani hakika nineinjoi baada kufika NIA dar nilijiona mwepesi na tafakuri nyingi kichwani kwamba ni kweli nimefika au naota, nimezoea tren ya tazara zaidi siku 2 kusafiri njian its so amazing lol ilinichukua karibu masaa 8 kuwafakia wenyeji wangu nao walishangaa wala hawakuamin kama nimekuja na ndege kumbe niliminya sehemu nagonga viloba ili akili ikae sawia nimeamini tafuta ela uitmie na maisha mazuri yakuzoee
Afu we mbona huwa unachangiaga usiku tu.., huwa unawanga au..?!
ha ha atakuwa mlinzi wa nightclubs!! Ha ha ha! Cc Jerrymsigwa
Sijui. Ila washamba wa ndege ni wanyakyusa teh teh teh.
unajua hata wakisindikizana stendi wanaanza kuagana hadi basi linafika mbezi? Umponileee na babu, umponile nyau, uyaponile mahindiiiii na mchele! Mwenzio mtoa mada kilichomsikitisha kwa kupanda ndege ni kukosa kupewa salamu huku ndege inapaa kwi kwi kwi!!!
Wa malyafyale
Naomba kuuliza jmn, hvi kwenye ndege naruhusiwa kutembea tembea hv au kusimama ikiwa inaenda
Just like the old days
mi mziiimaaa! Ni Asubuh tulivuu!!
Ugeni wa kupanda ndege + Viroba original = Mwandiko na Hoja kama hiiHongera,ila samahani NIA ni Uwanja gani mkuu?