Duh! Fastjet kiboko dk 45 kumbwani

Duh! Fastjet kiboko dk 45 kumbwani

Mlipitia barabara ipi mkuu. Mngepita ile ya usawa wa mikumi ungewaona wanyama kutoka angani....Tehteheteheeeee
 
Hahaha...ati ilipokuwa inapaa ukasimama unatafuta chuma la kushika!!?
Mkuu umenikumbusha siku ya kwanza kupanda ndege, miaka 15 iliyopita ndiyo nimetoka chuo tu nikapata ajira serikali kapost ambako kaliruhusu kutembelea anga. Ninakumbuka wakati inaacha ardhi nilitaka niombe kushuka nilidhani sasa natangulia mbinguni, halafu wakati inaruka tena kwenda juu zaidi mpaka utumbo unatikisika na unahisi masikio kama yameziba hivi.

Mpaka tumekuwa wazoefu wa safari ndefu sasa....
 
Hakuna aliezaliwa na Ndege, kwa upande wangu sijawahi kupanda kabisa, hata nikienda JNIA sizioni maana pale juu wametuzuia kupanda eti bush alizuia.

wakati mwingine ni uamuzi tu mkuu Richpol kuna mchezaji mmoja alikua anachezea asenali alikuwa hataki kabisa kusikia habari za eroplen
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom