adakiss23 JF-Expert Member Jan 23, 2011 4,477 4,270 Dec 5, 2012 #1 http://www.youtube.com/watch?v=iaE1qqo1DNU
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,787 Dec 5, 2012 #2 Yaani nimecheka! Huu ni utani wa ngumi kama sio ugomvi wa mawe. Ama, tumetoka mbali aisee.
snowhite JF-Expert Member Aug 2, 2012 17,710 23,661 Dec 5, 2012 #4 na nyimbo zake hazichoshi ati!toka enzi hiyo!jamaa anaujua mziki!yeye, Q CHILLAR na mwana FA ni wasanii ninaowasalute SANA!MNOO! kibongoflava bongoflava
na nyimbo zake hazichoshi ati!toka enzi hiyo!jamaa anaujua mziki!yeye, Q CHILLAR na mwana FA ni wasanii ninaowasalute SANA!MNOO! kibongoflava bongoflava
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Dec 5, 2012 #5 E bana ee, ki style na mkono mmoja kunako nyeti
Jay One JF-Expert Member Nov 12, 2010 16,859 16,757 Dec 5, 2012 #9 Hela ione tu.... wengi hawajajua hela ni nn...!!