Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Hivi hii alovera ndo kimekuwa kigezo cha makampuni ya dawa kutumia jina hilo ili kupata fedha nyingi? Kila anayekuja na dawa ya meno,mafuta ya kujipaka,sabuni,dawa za nywele,vidonge utasikia muuzaji eti ni aloevera!
Basi tusubiri siku si nyingi zitakuja SIMU za ALOEVERA.
lol
Basi tusubiri siku si nyingi zitakuja SIMU za ALOEVERA.
lol