Kubwjing
JF-Expert Member
- Aug 2, 2025
- 2,897
- 5,215
Mbona mie sikuwa kwenye ushindani wowote? Ninakutakia siku njema ndugu yangu.Haya mwamba umeshinda.
Uwe na asubuhi njema
Mbona mie sikuwa kwenye ushindani wowote? Ninakutakia siku njema ndugu yangu.Haya mwamba umeshinda.
Uwe na asubuhi njema
Serikali iunde tume ya kuchunguza mabadiliko ya kitabia na mienendo ya hawa viumbe haraka iwezekanavyo. Baada ya hapo juhudi za kuwarudisha kwenye makazi yao ya asili zianze mara moja la sivyo tutapoteza miongoni mwa vivutio bora vya utalii nchiniDisco limevamiwa na Masai
🤣🤣 Alipoanguka alikuwa anafanya Nini?Serikali iunde tume ya kuchunguza mabadiliko ya kitabia na mienendo ya hawa viumbe haraka iwezekanavyo. Baada ya hapo juhudi za kuwarudisha kwenye makazi yao ya asili zianze mara moja la sivyo tutapoteza miongoni mwa vivutio bora vya utalii nchini
Kwahiyo hapo alivyobinuka akaangukia kifua alikuwa anawaiga wale wanawake kwenye vigodoro🤣🙌!
Sio watu hatarishi?Nawapendaga sana wamasai hawanaga shida na mtu hadi uwachokoze 🤣🤣🤣
Hapana wastaraabu halafu wana machine tamu za motoooooSio watu hatarishi?