Maneno ya wazee kama nyie ni dawaKwenye ulimwengu wa jinsia kuna vinasaba huwatambulisha watu jinsia zao... Vinasaba hivyo ni kama
.Sauti
. Mavazi
. Umbo
. Tabia
. Urembo
Mwanamke mzuri anayejiamini hana makeke wala vipodozi vingi... Lakini akipita mahali na wengine kumi... Ataangaliwa ama kupewa alama za juu yeye....
Mwanamke asiyejiamini ni shughuli pevu.. Kwanza vipodozi kama vyote, mikogo na maringo ndio usiseme.. Mjuaji yeye na mkamilifu yeye..... Huyu akiwa mahali atalazimisha atambulike uwepo wake....
Kujadili watu na maisha yao pamoja na bifu za kijinga sio sifa ya mwanaume... Haya mambo tumezoea kuyaona kwa ndugu zetu wa jinsia pinzani... Unapoona mwanaume kila wakati ni mgomvimgomvi, mpenda sifa, mjuaji, mnyooshea wengine vidole, mchambaji basi tambua fika huyo kuna udhaifu anauficha na anaufidia kwa kufanya mambo kama hayo... Ana dalili ya vinasaba vya ushoga
Godfrey ana tabia zote hizo, kupenda kulazimisha umaarufu kisanaa lakini pia kwa mambo yasiyomhusu... Ana mwili mkubwa lakini asilimia ya medulla imepishina njia na asilimia ya mwili....
Ameibuka kwa staili mpya ya kutaja wanaotuhumiwa kujihusisha na ushoga... Sasa hivi yuko mitandaoni... What a coming back! Anatajataja tu watu na jamii bila kutafakari kwa makini inarindima na midundo yake bila kufahamu kuwa anajidhalilisha na anatumika.... Akija kukwaa kisiki cha mpingo jamii hiyohiyo iliyokuwa ikimshangilia ndio hiyohiyo itakuwa ya kwanza kumnanga..
Asijisahau kuwa yeye ni mwanaume na akumbuke kama mwanaume anapaswa kufanya nini... Sio kupayukapayuka tu... Hizi ni dalili za kuwa ngangaripoa
Ni konki 3 alisemaMkuu Naona unafahamiana vizuri na Konki, Konki Master!
Asante kwa masahihisho!Ni konki 3 alisema
Konk master anaongozwa na bibleManeno ya wazee kama nyie ni dawa
Kama mpaka mzee mshana mlozi umeongea basi dudu baya ajiangalie
Hata kama ila hii issue ni sensitive sana angewaachia wahusikaKonk master anaongozwa na bible
Kwa hyo wale wote alowataja umethibitisha kuwa ni mashoga?Acha kutetea vitendo vya ushoga oil chafu konki master acha amfunge paka kengele wengine walishashindwa
Kasema kama Sio kweli basi anakubali kufungwa jela huoni hapa kuna kitu.Kwa hyo wale wote alowataja umethibitisha kuwa ni mashoga?
Mh aya tuoneKasema kama Sio kweli basi anakubali kufungwa jela huoni hapa kuna kitu.
Jiwe gizani, ukisikia paaa ujue limekupata.Kwenye ulimwengu wa jinsia kuna vinasaba huwatambulisha watu jinsia zao... Vinasaba hivyo ni kama
.Sauti
. Mavazi
. Umbo
. Tabia
. Urembo
Mwanamke mzuri anayejiamini hana makeke wala vipodozi vingi... Lakini akipita mahali na wengine kumi... Ataangaliwa ama kupewa alama za juu yeye....
Mwanamke asiyejiamini ni shughuli pevu.. Kwanza vipodozi kama vyote, mikogo na maringo ndio usiseme.. Mjuaji yeye na mkamilifu yeye..... Huyu akiwa mahali atalazimisha atambulike uwepo wake....
Kujadili watu na maisha yao pamoja na bifu za kijinga sio sifa ya mwanaume... Haya mambo tumezoea kuyaona kwa ndugu zetu wa jinsia pinzani... Unapoona mwanaume kila wakati ni mgomvimgomvi, mpenda sifa, mjuaji, mnyooshea wengine vidole, mchambaji basi tambua fika huyo kuna udhaifu anauficha na anaufidia kwa kufanya mambo kama hayo... Ana dalili ya vinasaba vya ushoga
Godfrey ana tabia zote hizo, kupenda kulazimisha umaarufu kisanaa lakini pia kwa mambo yasiyomhusu... Ana mwili mkubwa lakini asilimia ya medulla imepishina njia na asilimia ya mwili....
Ameibuka kwa staili mpya ya kutaja wanaotuhumiwa kujihusisha na ushoga... Sasa hivi yuko mitandaoni... What a coming back! Anatajataja tu watu na jamii bila kutafakari kwa makini inarindima na midundo yake bila kufahamu kuwa anajidhalilisha na anatumika.... Akija kukwaa kisiki cha mpingo jamii hiyohiyo iliyokuwa ikimshangilia ndio hiyohiyo itakuwa ya kwanza kumnanga..
Asijisahau kuwa yeye ni mwanaume na akumbuke kama mwanaume anapaswa kufanya nini... Sio kupayukapayuka tu... Hizi ni dalili za kuwa ngangaripoa
Unapoona mwanaume kila wakati ni mgomvimgomvi, mpenda sifa, mjuaji, mnyooshea wengine vidole, mchambaji basi tambua fika huyo kuna udhaifu anauficha na anaufidia kwa kufanya mambo kama hayo... Ana dalili ya vinasaba vya ushoga
Asijisahau kuwa yeye ni mwanaume na akumbuke kama mwanaume anapaswa kufanya nini... Sio kupayukapayuka tu... Hizi ni dalili za kuwa ngangaripoa