Pakome
JF-Expert Member
- Dec 8, 2024
- 1,541
- 916
Dudu Baya huwa hapati kabisa utamu pasipokutamka neno shoga kwenye kauli zake
Nikama akili ya Dudu Baya imejaa ushoga
Hakuwahi kuzungumzia swala lolote pasipokutamka shoga
Hapatagi utamu anapokuwa na wanaume pasipokuwatukana mashoga
Sijafahamu kiwango cha ushoga katika akili yake ni cha kiasi gani kwasababu nikama kimevuka mpaka
Kuwatukana wanaume mashoga kwakweli ni tusi kubwa sana na hasa linavunja heshima ya mwanaume
Sijajua ni lini wanaume kama hawa wataheshimiana wanapokuwa wakizungumza pasipokutukanana
Wakati mwingine wala mtu hukutaka kusikia neno hilo lakini Dudu Baya atakuletea huwa inakera sana
Anatukana wasanii wengi sasa sijajua mwisho rafiki yake atakuwa nani kwasababu anaowatukana ni wasanii ambao wanafanya sanaa pamoja ni sawa na kutukana wafanyakazi wenzake jambo ambalo linaudhi sana
Mwanaume mzima zaidi ya miaka 30 - 40 kumuita shoga tena kwa kashfa ni sawa na kumtukana na hata kukufuru uumbaji wa mwanaume
Nikama akili ya Dudu Baya imejaa ushoga
Hakuwahi kuzungumzia swala lolote pasipokutamka shoga
Hapatagi utamu anapokuwa na wanaume pasipokuwatukana mashoga
Sijafahamu kiwango cha ushoga katika akili yake ni cha kiasi gani kwasababu nikama kimevuka mpaka
Kuwatukana wanaume mashoga kwakweli ni tusi kubwa sana na hasa linavunja heshima ya mwanaume
Sijajua ni lini wanaume kama hawa wataheshimiana wanapokuwa wakizungumza pasipokutukanana
Wakati mwingine wala mtu hukutaka kusikia neno hilo lakini Dudu Baya atakuletea huwa inakera sana
Anatukana wasanii wengi sasa sijajua mwisho rafiki yake atakuwa nani kwasababu anaowatukana ni wasanii ambao wanafanya sanaa pamoja ni sawa na kutukana wafanyakazi wenzake jambo ambalo linaudhi sana
Mwanaume mzima zaidi ya miaka 30 - 40 kumuita shoga tena kwa kashfa ni sawa na kumtukana na hata kukufuru uumbaji wa mwanaume